Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Wanaujua ukwel ila wabishUkisema Simba atafungwa moja kwa moja utakuwa hutendi haki, Kwan kundi D kila timu inaweza kushinda ikichanga vizuri karata yake.
HAKUNA aliyeamini Kama Simba angemfunga ahaly pale kwa mchina [emoji41] (kwa mkapa samahani)
Ukichunguza vizuri kwa Sasa HAKUNA ungerdog club, kila timu imeonyesha uwezo wake hususan kwenye viwanja vya NYUMBANI!
Kuelekea jumamos Sina Shaka Simba atazichanga vyema karata zake, kwa sababu zifuatzo;
Mosi, as vita atatupania Kama alivyotupania ahaly, hivyo watakachotuna nacho wataenda kumsimulia Felix Tchiseked kwanini sisi ni Simba.
Pili, yeye Ana point Saba, sambamba na misri, hivyo atafunguka mwanzo mwisho ili apate goli la mapema, na ikiwezekana apate magoli mengi wakati huo Simba haitaleta masihara, mbele lazima okwi, kagere, boko culibaly, na chama watakuwepo mbele, japo chama huwa ananiboa Sana. Anapenda vituchenga vya ajabu ajabu Sana utani anacheza na timu ya wananchi (yanga) badala apige mbele yeye huwa anamsubiria adui wakati Hana nguvu!
Lakini inshallah kwa mchina hachomoki mtu, DO or DIE kitaeleweka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app