Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Ushapokea kiinua mgongo kwa kanjibai unaleta zarau ukuNdio natoka kwa babu goli mbili zimeng'ang'ania simba anapigwa tena kipindi cha kwanza. Nina 2K anayebisha aje na mzigo PM.
Siku ya j/mosi utatusamehe mtani uku utabak mwnyw na tanesco wametangaza watakata umeme kuanzia 18:59Kwa nini munifanyie hivyo sa. Muje tupeane Updates jamaani.
π π Mtani na mie nimeongeza 1K kwa atakayekwenda kwa huyo Chief kubisha. π π
Iyo hela mgeichagia yanga ingependeza maan mnatakiwa mlipe faini[emoji28][emoji28] Mtani na mie nimeongeza 1K kwa atakayekwenda kwa huyo Chief kubisha. [emoji28][emoji28]
Wacha hizo bana. Mie nishaandaa na jenereta ili mradi tu niwe naangalia huku nawaletea Updates watani zangu. ππππSiku ya j/mosi utatusamehe mtani uku utabak mwnyw na tanesco wametangaza watakata umeme kuanzia 18:59
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyinyi muwepo mkishuhudia mauaji ya kimbari kutoka kwa mfalme wa nyika, Mnyama mkali kupita wanyama wote muungurumo wake mmoja tu ulitosha kumnyamazisha chura churani sasa ni zamu ya AS VITAMBICC. Watani zangu King Ngwaba , Mtoto halali na hela , Sapta Sapta , OKW BOBAN SUNZU , Krizy Beat, Sanchez magoli , 100 Likes jumamosi muwepo jamaani matokeo mutayapatia hapa hapa.
Kila sehemu ina nafasi yake mtani kule tunatowa na huku mengine yanaendela hasa kwa wale jamaa wabishi wabishi. ππ
Nitaenda na bro taifa simu nitaacha nyumbanWacha hizo bana. Mie nishaandaa na jenereta ili mradi tu niwe naangalia huku nawaletea Updates watani zangu. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mtoto halali na hela
Hamchelewi kutia hurumaKila sehemu ina nafasi yake mtani kule tunatowa na huku mengine yanaendela hasa kwa wale jamaa wabishi wabishi. [emoji3][emoji3]
Kumbe unazungumzia kombe la Azam Confederation Cup na ligi ya bara? Zungumzia CAF Champions League kwa MkapaAl Ahly, Js Soura, As Vita ,Mbao, Mashujaa waliwafanya nini?
Au kwako tafsiri ya kufungwa imekaaje Mtani?
Tuombe uzima Insha Allah ili pale yatakapokuwa kinyume nione utasingizia nini Mtani. Maana Wacongo si watu wazuri.Na nyinyi muwepo mkishuhudia mauaji ya kimbari kutoka kwa mfalme wa nyika, Mnyama mkali kupita wanyama wote muungurumo wake mmoja tu ulitosha kumnyamazisha chura churani sasa ni zamu ya AS VITAMBI
Simba nguvu moja
Sasa Mkuu mechi za CAF zote umecheza kwa Mkapa? Au kisa umepigwa zile Twelve basi unadhani habari zenu hatunazo. Aiseeee.Kumbe unazungumzia kombe la Azam Confederation Cup na ligi ya bara? Zungumzia CAF Champions League kwa Mkapa
Tunajadili mechi ijayo weye umetuna kulazimisha Mo kwenye uzi.Kama anakuumiza roho sana jiunge Simba.Jadili mechi ijayo ya Simba maana kuyajadili ya Yanga huwezi.Halafu unasema Simba haijaisaidia Yanga?Vipi ile mechi ya juzi mliyoponea viingilio?Na kuhusu kuchangia timu hakuna haja ya kujitapa kama binti wa kiswahili anadanga.Kila mmoja achangie timu yake kimyakimya.Tulishawahi kukuomba msaada? Wewe kama wewe unaichangia nini simba? Mwenzio najivunia kuchangia Yanga yangu .
Siku Mo katekwa mliweweseka mlijua ndo mmekwisha, halafu ni aibu kujisifia kwa mali za mwenzio.
Kuna midume na mip..mbu yao imekaa kusifia hela za mwanaume mwenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha Weeee. Haya bana Mtani.
Na mimi nimemshangaa badala azungumzie huku kwa wanaume yeye anazungumzia kwa wacheza chiriku.Kumbe unazungumzia kombe la Azam Confederation Cup na ligi ya bara? Zungumzia CAF Champions League kwa Mkapa
Huruma ya nini wakati Wananchi tupo zaidi ya Ngangari.