- Thread starter
- #21
Alipowabinya wapinzani tuliona raha tukizani sisi WanaCCM tutakula kuku kwa mrija, lkn kumbe muda wetu wa kulia ulikuwa bado haujafika. Hakika Sasa tunajuta.Masikini chama kimetekwa na Dola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipowabinya wapinzani tuliona raha tukizani sisi WanaCCM tutakula kuku kwa mrija, lkn kumbe muda wetu wa kulia ulikuwa bado haujafika. Hakika Sasa tunajuta.Masikini chama kimetekwa na Dola
Yaah. Hili limeanzia huko mkuu, tunamuliwa mambo badala ya waccm we nyewe kuamua. WanaCCM hatujaipenda hii.
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi hinafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya ccm. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Tuliwaonya huyu ni dikteta, mkafikiri udikteta utaishia kubagua wapinzani.
Nyerere alisema dhambi ya ubaguzi ni kama kula nyama ya mtu, ukianza huachi.
Magufuli kasema bila aibu kwamba atamkata mtia nia yeyote, si kwa katiba, si kwa miongozo, si kwa taratibu, si kwa utamaduni,bali kwa jinsi takavyojisikia alivyoamka siku hiyo.
Yani kasema wazi yeye ni dikteta.
Kuna vikao ya kumfukuza Membe, anasema hajapeleka mjadala kwenye kikao aliogopa mjadala wa kikao, kamaliza habari mwenyewe katangaza tu. Haoni hata aibu.
Huyu dikteta ataiharibu sana hii nchi.
Haya hangaikeni na Mwenyekiti wenu ; tuliwaonya ila mkatuona waongo!! Haya sasa!!Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi hinafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya ccm. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Hili ndiyo suala linalo nong'onwa Sana hapa Dodoma na wajumbe wa mkutano mkuu. Wengi wanaenda mbali na kusema "wagombea pendwa" tu ndiyo watapitishwa. Na Kuna majimbo wanapelekewa wagombea na kuitaka kamati ya siasa ya wilaya kuwapa ushirikiano. Hatari hii.Magufuli kasema bila aibu kwamba atamkata mtia nia yeyote, si kwa katiba, si kwa miongozo, si kwa taratibu, si kwa utamaduni,bali kwa jinsi takavyojisikia alivyoamka siku hiyo.
Linanong'onwa Sana hili hapa DodomaBila kuwa kwenye list yake ubunge utausikia tu kwa majirani.
Mkuu kura ya kuikataa ccm haina sauti uchaguzi huu. Jaribu kufuatilia mifumo ya ushindi iliyoandaliwaNenda kapige kura, then watuoneshe kwa vitendo hiyo kauli yao, talking is always cheap.
Linanong'onwa Sana hili hapa Dodoma
Chukueni hatua sasaLinanong'onwa Sana hili hapa Dodoma
Kungenoga vizuri kama WanaCCM tungepewa Uhuru wa kuamua na kusikilizwa.Si kawaambia nyumbani kumenoga,ndo kunoga kwenyewe huko
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Nenda kapige kura, then watuoneshe kwa vitendo hiyo kauli yao, talking is always cheap.
Haiwezekani. Kuna wanaonufaika na hili. Hivyo tumegawanyika.Chukueni hatua sasa
Lini umehama CHADEMA?Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
wewe lazima utakuwa ndiye yule mjumbe wa NEC kutoka Songwe aliyemuuliza mwenyekiti wake swali gumu jana wewe.... si bure!!Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Nenda kapige kura, then watuoneshe kwa vitendo hiyo kauli yao, talking is always cheap.