- Thread starter
- #41
Yule alikuwa anawasemea wengi mkuu. Tulimtuma na kumtia moyo ayaseme aliyoyasema.wewe lazima utakuwa ndiye yule mjumbe wa NEC kutoka Songwe aliyemuuliza mwenyekiti wake swali gumu jana wewe.... si bure!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule alikuwa anawasemea wengi mkuu. Tulimtuma na kumtia moyo ayaseme aliyoyasema.wewe lazima utakuwa ndiye yule mjumbe wa NEC kutoka Songwe aliyemuuliza mwenyekiti wake swali gumu jana wewe.... si bure!!
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
Tulikuwa tunapigwa biti kuanzia kitaa mpk viongozi wa chama kwamba tusithubutu. Ndiyo maana tukaacha. Mbali ya Membe aliyevuliwa hadi uanachama kwa kutaka kugombea, kuna mwenzetu mwingine alijipanga kabisa (sitamtaja). Akapewa vitisho akaacha. In box naweza kukupa jina lake.Ulienda ukazuiliwa kuchukua hiyo fomu?.. au ni nyie kupaisha midomo na kuogopeshana na kufanganyana.. na mkaishia mulipo..
NDIO, ni kweli.3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana
Hata mm naliona hili. Akiondoka madarakani huyu JPM ccm itaondoka piaCcm imeisha hiyo.
Hama chama kwani lazima uwe ccm????Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??
1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.
2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.
3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).
4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.
Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Udiktena hauletwi na raisi bali unaletwa na vyombo vya dola bila vyombo vya dola hakuna dikteta maaana hata akisema fanyeni hivi vyombo vya dola mahakama na bunge vikikataaa huwez endelea kuwa raisi ivo udikteta huletwa na vyombo vyote vya ulinzi bunge na mahakamaSiku alipo punguza wajumbe ndio mwanzo wa huu udikteta..
Ok.Tangu mwaka 2000 nimekuwa mpiga kura mwaminifu. Ila kuanzia mwaka wa jana 2019, niliapa kutoshiriki chini ya utawala wa Magufuli, mtu asiyeheshimu demokrasia na matakwa ya wananchi walio wengi .
Akitoka madarakani, Inshallah! Nitarudi. Huu ni msimamo wangu binafsi.
Hatua inaanza na mtu mmoja kuwa radhi kujitoa muhanga na kunyanyua kidole na kusema sikubaliani na mchakato kutokana na sababu kadhaa. Usitegemee muwe pamoja katika hili kwani wapo wanaofaidika.Haiwezekani. Kuna wanaonufaika na hili. Hivyo tumegawanyika.
Silaha ya jadi kwenye kupiga kura sio issue, issue ni kwenye kumtangaza mshindi.Ni vyema kama ni kushiriki kupiga kura watu wahimizwe kwenda na silaha za jadi. Ila kwenda kupiga kura kama wanaenda kwenye nyumba za ibada ni utani. Uchaguzi wa safari hii kama wapinzani wamekubali kushiriki chini ya tume hii, wajiandae kwa machafuko zaidi kuliko kinyume chake.
Ni kweli. Mbali na hilo hata humo kwenye ukumbi viongozi walitusihi tusipige kura ya hapana ili mkoa wetu usije kuonekana umeasi, halafu wanachama na viongozi wa chama wakaipata freshiNDIO, ni kweli.
Ukiweka kura ya HAPANA kwenye sanduku la CCM MOROGORO watapeleka fomu ile kwa RPC wa Morogoro au RSO wa Morogoro kufanyiwa dusting for fingerprints, halafu anapewa kachero aliyeko NIDA au TCRA au Tume ya Uchaguzi au VODACOM anaambiwa pitia fingerprints zote za wana CCM wa MOROGORO uimachi na hii fingerprint au palm prints.
Kumbuka taasisi zote hizo zinazo fingerprints zetu, na kote humo Usalama wapo kisheria, na mashine za ku match fingerprints wanazo!
Very very very simple to figure you out!