Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Uchaguzi 2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

Ndiyo, tunalizimishwa na "mazingira" yaliyowekwa. Na ndiyo maana hata unaona baadhi wakilazimishwa na "mazingira" kuunga juhudi
Kina nani wanaolazimishwa hata kama hawataki?
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Pole Tanzania, pole Tanganyika
 
CCM siku hizi hakuna mjadala ahaaaaaa kuanzia Kamati kuuu ; NEC hadi mkutano mkuuu

Mwenyekiti anachofanya ni “kuuliza”

Wajumbe mnasemajeeeeeeee?

Wajumbe;- sawaaaaaaa

Mwenyekiti ;-haya imepita

Mwenyekiti:- hapa Nina hoja yangu haukupita Kamati kuu

Mnasemajeeee

Wajumbe :- ndioooooooo


Kwenye ccm walizoea mijadala mizito kwenye ngazi ya Kamati kuuu mizito Sana na hizo ndiooooo zilikua mkutano mkuuu Lakini nako mwenyekiti alitoa nafasi ya mijadala miwili mitatu

Lakini leo tunaona ccm ambayo hadi NEC hawapewi nafasi ya kujadilii hoja na hata wanaojaribu kuleta hoja fikirishi kama yule wa Songwe wanazimwa juu kwa juuu na pengine wakitoka hapo watashughulikiwa .....


Mkutano Mkuu “mapandikizi” yanapata muda wa kuongea Lakini sio mijadala

Alafu wanafurahia kumaliza mkutano wa siku mbili kwa masaaa Matatu tu; that’s a joke
Huu ni uburuzaji

Mikutano ya cc ; Nec na Congress ilikua hadi inakesha sio kuwa walikua wajinga bali ililenga kutoa nafasi ya kutosha ya mijadala toka kwa Wajumbe Lakini leo Wajumbe wanaenda kusema ndioooo tu

Pengine mwenyekiti wa Sasa sio mtu wa kuvumilia mijadala mizito hawezi !!!!
Wacha wadundwe,mambo mengine ya kujitakia wao wenyewe.
Wao ndio waliuza utu wao kwa kukubali kupindisha pindisha kanuni na miongozo ya uongozi wa chama.
Pili walijiona mageuzi au mshike mshike za mjomba Magu haziwausu kumbe alikuwa anawalia timing tu.
Tatu haihitaji hata kura zao,au kelele zao,sana sana anafurahia ujinga wao.
 
Munasubiri nini????. Yaani ni ujinga wenu wenyewe kukubali kuburuzwa. Hamujui kujitetea au ndio mutakosa ruzuku ya UKADA.????.
 
Nihame niende wapi wakati huko upinzani ndiko mbinyo na vilio vilikoanzia? Yaani niondoke kwenye majivu nikimbilie kwenye moto? Hivi unadhani akina Kinana, Nape na Makambas wanaomba radhi hivi hivi tu. Au kina Sumaye na Lowasa wanarudi ccm kwa kupenda? Kuna makubwa yaliwapata.

Pambana na hali yako
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.
Mpuuzi wewe, anaburuzwa nani? Na Hukute uanachart umekaa juu ya Flyover au unatarajiwa kusafiri na Ndege iliyonunuliwa na mzalendo, na Mambo Kibao
 
Wana ccm tunanyanyasika mwenyekiti kakiweka chama mfukoni .
 
Mpuuzi wewe, anaburuzwa nani? Na Hukute uanachart umekaa juu ya Flyover au unatarajiwa kusafiri na Ndege iliyonunuliwa na mzalendo, na Mambo Kibao
Wewe utakuwa ni mnufaika wa ubabaishaji unaofanywa ndani ya chama. Siwezi kubishana na wewe.
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.

Mliipenda wenyewe,mlipoambiwa akiwamaliza wapinzani atakumalizeni hamkusikia
 
Hakika mkuu. Anaamua, anafanya, amfokea na kumtusi yeyote bila ya hofu
Chama Mali yake binafsi nyie ni wapangaji kwann msiburuzwe,hili trela teuzi zote ni za wahamiaji nyie endeleeni kusugua mabenchi
 
Na ile kauli yake ya kuwaambia Wapinzani hawatashinda uchaguzi wa mwaka huu nayo ina ukakasi na inatukatisha tamaa wapenda mabadiliko.

Mzee huwa anaongea tu kila kinachomjia mdomoni mwake. Hana utaratibu wa kuchuja kwanza ili kuondoa mkanganyiko usio na tija.
Mbona hata maalim self uwa anaitumia kwann ujawai kuona tatizo hapo?
 
Safari hii ni mwendo wa kuletewa wagombea kazi ya wanaccm ni kuchagua uwe unataka utamchagua umtaki utamchagua.
 
Anachokitaka ndicho huwa. Na anafanya mambo kwa manufaa yake ya kisiasa. Kwanini nasema haya??

1. Angalia namna mchakato wa uchukuaji fomu za kugombea urais wa JMT ulivyokuwa na figisu. Eti wanaCCM wengine hawaruhusiwi kuchukua fomu. Ni yeye tu.

2. Angalia chaguzi za marudio ktk majimbo ambayo wabunge wapinzani "waliunga mkono juhudi". WanaCCM tulinyimwa kushindana nao. Na hata ktk uchaguzi huu tumepigwa marufuku kushindana nao.

3. Angalia upigaji kura ktk mkutano mkuu, ukusanyaji wa kura ulikuwa wa kimikoa (hii mbinu imewekwa ili iwe rahisi kutufuatilia wale ambao tungepiga kura ya hapana).

4. Kwa kinywa chake mwenyewe amesema kura za maoni za watia nia wa ubunge hazina maaana. Yeye amesema anaweza kumchukuwa hata mtu wa mwisho. Yaani badala ya wagombea kutafuta ridhaa ya wananchi, Sasa wanasubiri maamuzi binafsi ya mwenyekiti.

Demokrasia imezikwa rasmi ndani ya CCM. WanaCCM tunapelekwa pelekwa tu.

Hili trela,sio kila mtu ni wa kupewa leseni ya udereva mkadhani ni dereva.
 
Alishasema atafanya maamuzi kutokana na hiyo siku hiyo kaamkaje.Hivo mkuu awe anaombewa tuu aamke vizuri.
 
Nadhani uliuliza kwa nini wageni hao wa kuja wanathaminiwa zaidi nam jibu ulilipata. Acha chokochoko, hamia upinzani ukipitishwa ukashinda urudi nyumbani ili uthaminiwe
 
Back
Top Bottom