britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Naanza ku-declare interest Mimi ni Mwana Chama wa Chama Cha Mapinduzi kabisa ambaye sikupendezwa na jinsi Chama changu kilivyokuwa kikiyashughulikia Masuala mbali mbali Kwa Miaka kadhaa iliyopita na Mifano ipo.
Nikajikuta hasa kuna baadhi ya Mitizamo tunaendana kabisa na wenye sera mbadala ambao wanajulikana maarufu kama wapinzani,
Sikukubaliana na uminywaji wa Demokrasia si Kwa wapinzani tu bali hata kwa wanachama wa Chama chetu! Haikuishia hapo wakaanza hata kurekodiwa na kukagua hata meseji Kwa mtambo maalumu ambao kwa secret agreements ulinunuliwa kwa Mgongo wa Rwanda kuletwa nchini kipindi bado kagame hajamdhulumu Magufuli mambo kadhaa!
Tumelipigania hilo Kwa udi na Uvumba kabla yaa Kushinda vita Mungu akatushindia.
Sasa tukarudi kwenye msingi wa kuhoji yaliyo ya maana na mengine ya kupoteza Muda tukaachana nayo!
Nashangaa wapinzani wa Tanzania ukiwa na hoja mbadala yao wanaona we msaliti nawauliza ni wapi niliwai kutamka mimi ni mpinzani?
Katika masuala y’a Msingi lazima tukosoane, siku hizi Imekuwa kila kukicha mazungumzo kwenye Space huko twitter na action ni zero Imekuwa kama kikao cha soga!
Haijaisha topic moja na solution zake washadakia nyingine
Kinachoudhi zaidi Kuna Upotoshaji mwingi sana kwenye hoja za baadhi ya watu muhimu ndani ya Upinzani
Nimeangalia Sakata la Kesi ya Mbowe japo naamini siyo gaidi na hana uthubutu wa kufanya mambo y’a kigaidi ila wamekuwa ni wepesi Kumshambulia mtu yeyote anayeonekana kuwapa mawazo mbadala Au kuhoji jambo kuweka mambo sawa!
Tuanze ushahidi kutoka Tigo, wanasema Tigo hawakupaswa kutoa ushahidi, Seriously 😒!
Someni Duty of Secrecy and exemption zake
Tusiwapotoshe wananchi wao wakaona Soln ni kuhamasisha kuvunja line, je na Voda wakitoa ushahidi na airtel mtahamia wapi?
Na Mashahidi wanaendelea kumiminika ama wa kutengenezwa Au wa kweli na wengine kuanzia week ijayo wanatoka Chama chake mtashangaa
Britanicca
Nikajikuta hasa kuna baadhi ya Mitizamo tunaendana kabisa na wenye sera mbadala ambao wanajulikana maarufu kama wapinzani,
Sikukubaliana na uminywaji wa Demokrasia si Kwa wapinzani tu bali hata kwa wanachama wa Chama chetu! Haikuishia hapo wakaanza hata kurekodiwa na kukagua hata meseji Kwa mtambo maalumu ambao kwa secret agreements ulinunuliwa kwa Mgongo wa Rwanda kuletwa nchini kipindi bado kagame hajamdhulumu Magufuli mambo kadhaa!
Tumelipigania hilo Kwa udi na Uvumba kabla yaa Kushinda vita Mungu akatushindia.
Sasa tukarudi kwenye msingi wa kuhoji yaliyo ya maana na mengine ya kupoteza Muda tukaachana nayo!
Nashangaa wapinzani wa Tanzania ukiwa na hoja mbadala yao wanaona we msaliti nawauliza ni wapi niliwai kutamka mimi ni mpinzani?
Katika masuala y’a Msingi lazima tukosoane, siku hizi Imekuwa kila kukicha mazungumzo kwenye Space huko twitter na action ni zero Imekuwa kama kikao cha soga!
Haijaisha topic moja na solution zake washadakia nyingine
Kinachoudhi zaidi Kuna Upotoshaji mwingi sana kwenye hoja za baadhi ya watu muhimu ndani ya Upinzani
Nimeangalia Sakata la Kesi ya Mbowe japo naamini siyo gaidi na hana uthubutu wa kufanya mambo y’a kigaidi ila wamekuwa ni wepesi Kumshambulia mtu yeyote anayeonekana kuwapa mawazo mbadala Au kuhoji jambo kuweka mambo sawa!
Tuanze ushahidi kutoka Tigo, wanasema Tigo hawakupaswa kutoa ushahidi, Seriously 😒!
Someni Duty of Secrecy and exemption zake
Tusiwapotoshe wananchi wao wakaona Soln ni kuhamasisha kuvunja line, je na Voda wakitoa ushahidi na airtel mtahamia wapi?
Na Mashahidi wanaendelea kumiminika ama wa kutengenezwa Au wa kweli na wengine kuanzia week ijayo wanatoka Chama chake mtashangaa
Britanicca