Sitaki niwe mnafiki; siasa za Vyama vya Upinzani zinatakiwa kubadilika kimtizamo kulingana na nyakati

Sitaki niwe mnafiki; siasa za Vyama vya Upinzani zinatakiwa kubadilika kimtizamo kulingana na nyakati

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Naanza ku-declare interest Mimi ni Mwana Chama wa Chama Cha Mapinduzi kabisa ambaye sikupendezwa na jinsi Chama changu kilivyokuwa kikiyashughulikia Masuala mbali mbali Kwa Miaka kadhaa iliyopita na Mifano ipo.

Nikajikuta hasa kuna baadhi ya Mitizamo tunaendana kabisa na wenye sera mbadala ambao wanajulikana maarufu kama wapinzani,

Sikukubaliana na uminywaji wa Demokrasia si Kwa wapinzani tu bali hata kwa wanachama wa Chama chetu! Haikuishia hapo wakaanza hata kurekodiwa na kukagua hata meseji Kwa mtambo maalumu ambao kwa secret agreements ulinunuliwa kwa Mgongo wa Rwanda kuletwa nchini kipindi bado kagame hajamdhulumu Magufuli mambo kadhaa!

Tumelipigania hilo Kwa udi na Uvumba kabla yaa Kushinda vita Mungu akatushindia.

Sasa tukarudi kwenye msingi wa kuhoji yaliyo ya maana na mengine ya kupoteza Muda tukaachana nayo!

Nashangaa wapinzani wa Tanzania ukiwa na hoja mbadala yao wanaona we msaliti nawauliza ni wapi niliwai kutamka mimi ni mpinzani?

Katika masuala y’a Msingi lazima tukosoane, siku hizi Imekuwa kila kukicha mazungumzo kwenye Space huko twitter na action ni zero Imekuwa kama kikao cha soga!

Haijaisha topic moja na solution zake washadakia nyingine

Kinachoudhi zaidi Kuna Upotoshaji mwingi sana kwenye hoja za baadhi ya watu muhimu ndani ya Upinzani

Nimeangalia Sakata la Kesi ya Mbowe japo naamini siyo gaidi na hana uthubutu wa kufanya mambo y’a kigaidi ila wamekuwa ni wepesi Kumshambulia mtu yeyote anayeonekana kuwapa mawazo mbadala Au kuhoji jambo kuweka mambo sawa!

Tuanze ushahidi kutoka Tigo, wanasema Tigo hawakupaswa kutoa ushahidi, Seriously 😒!

Someni Duty of Secrecy and exemption zake

Tusiwapotoshe wananchi wao wakaona Soln ni kuhamasisha kuvunja line, je na Voda wakitoa ushahidi na airtel mtahamia wapi?

Na Mashahidi wanaendelea kumiminika ama wa kutengenezwa Au wa kweli na wengine kuanzia week ijayo wanatoka Chama chake mtashangaa

Britanicca
 
It's true, unajua hata CCM wanabadilika kila Utawala mpya unapoingia wao husoma upepo wa kiongozi aliyepo sasa upinzani lazima nao wajifunze kutembea na reli bila kuathiri malengo makuu ya vyama vyao.
 
It's true, unajua hata CCM wanabadilika kila Utawala mpya unapoingia wao husoma upepo wa kiongozi aliyepo sasa upinzani lazima nao wajifunze kutembea na reli bila kuathiri malengo makuu ya vyama vyao.
 
Kuna vitu vingine sisi wengine tumeamua kukaa kimya. Kiukweli kabisa Tanzania, kwa huku bara, hatuna kabisa upinzani wa kweli na wa maana. Huu uliopo ni upinzani uchwala.

P
 
Kuna vitu vingine sisi wengine tumeamua kukaa kimya. Kiukweli kabisa Tanzania, kwa huku bara, hatuna kabisa upinzani wa kweli na wa maana. Huu uliopo ni upinzani uchwala.
P
Kabisa uzuri ni Kwamba hatunyamazi na Tutasema tu
 
Wewe ndio mnafiki mkubwa. Baada ya Magufuli kukunyima teuzi ulizotegemea ulifura ukanuna na kususa uliandika hapa kuwa umeachana na siasa moja kwa moja. Nini umesahau hadi umerudi??.
 
Kuna vitu vingine sisi wengine tumeamua kukaa kimya. Kiukweli kabisa Tanzania, kwa huku bara, hatuna kabisa upinzani wa kweli na wa maana. Huu uliopo ni upinzani uchwala.

P
Mpinzani anapata kura 20000 akigombea wewe ulipata kura moja Ukiwa chama tawala🤣🤣🤣🤣

Bado unabeza upinzani??
 
It's true, unajua hata CCM wanabadilika kila Utawala mpya unapoingia wao husoma upepo wa kiongozi aliyepo sasa upinzani lazima nao wajifunze kutembea na reli bila kuathiri malengo makuu ya vyama vyao.
Ccm mnakuwa washauri wa upinzani toka lini???
 
Kuna vitu vingine sisi wengine tumeamua kukaa kimya. Kiukweli kabisa Tanzania, kwa huku bara, hatuna kabisa upinzani wa kweli na wa maana. Huu uliopo ni upinzani uchwala.

P
Hapo unakosea sana Paschal.

Ni kuukosea Uponzani kuuita kuwa ni 'UCHWARA".

SIASA za Nchi zinahitaji kuwa safi, hapa tumegota tumekaa, HAKUNA njia ya kutoka zaidi ya kuanza upya na KATIBA MPYA NA TUME HURU.
 
Kuna vitu vingine sisi wengine tumeamua kukaa kimya. Kiukweli kabisa Tanzania, kwa huku bara, hatuna kabisa upinzani wa kweli na wa maana. Huu uliopo ni upinzani uchwala.

P
Unasumbuliwa na njaa , na hakuna kitu kibaya kama mtu mzima kuwa na njaa
 
Upinzani wa Tanzania [emoji1241] ni upigania tumbo tu wala hawana jipya.

Chama kama Chadema kinapokusanya mashabiki na kuwahamasisha kwenda mahakamani Arusha kwenda kumzomea Sabaya kisa kumtuhumu alisimamia mbowe kukosa ubunge.Halafu Mbowe huyohuyo anaunda mtandao wa mwendesha mashtaka Kweka ambaye ni mkwe wake ,na kuhakikisha Sabaya anafungwa.

Zamu Inapomgeukia Mbowe na makomandoo wake, Chadema wote wanageukia huko na shughuli zao za chama zinasimama.wanasahau methali ya mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu.

Kisa mbowe ndie anazo akaunti zote za chama na bila yeye kusaini hata mishahara haitoki.
 
Back
Top Bottom