Sitaki tena kupaa angani

Z
Ontario si jiji wala si mji, kumbuka hilo.

Huna ulijuwalo, kwani sijaona jioya lolote kutoka kwako, hilo pia kumbuka. Mpaka sasa niliouona kutoka kwako uongo mtupu, hilo ndilo ndiyo ulijuwalo.

Huna jipya.

Never mind yote hayo nataka kujifunza kupaa na hicho ndio kipaumbele changu kwasasa mengine kaanzishe uzi wako
 
Wala usimbishie, hayo ni mambo yenu yanayoendana na majini.

Nisome vizuri post yangu halafu utaelewa nilichokiona uongo ni nini.

Mimi nimeueleza wazi uongo niliouna kuwa anadanganya wazi wazi, rudia kanisome tena, wacha kiherehere.
 
Nisome vizuri post yangu halafu utaelewa nilichokiona uongo ni nini.

Mimi nimeueleza wazi uongo niliouna kuwa anadanganya wazi wazi, rudia kanisome tena, wacha kiherehere.
Jimbo kuliita mji bado haifanyi stori yote iwe uongo, kiherehere kiko wapi sasa! Mshukuru Membe kukuwezesha kurudi nyumbani.
 
hahahahahaha lol! shauri yako utakuta wameshaingia kwenye papuchi wamefanya yao halafu wameshasepa ukiamka unabaki kushangaa shangaa, usiku unaofuata pia wanakuja wanafanya yao halafu hao wanasepa zao. Hawa anaweza hata kufanya yao kwenye papuchi ukiwa kazini lol! uko kazini colleagues wanakuona uko wa ajabu ajabu hata hawakuelewi kumbe njemba ziko busy kwenye papuchi zinafurahia utamu lol! Inatisha aisee.


Hahahaha hebu tusepe hapa maana mie hadi kuna id naanza kuziogopa
 
Hmmmm! Huna kwingine ambako ungependa kupaa zaidi ya kwa DHAIFU!? Nauliza tu lol! hahahahahahaha

 
Wewe labda upaishe mashuzi tu, huna zaidi.

Na hapa ndipo weledi wako unapoonekana, hunaga ubavu wa kusimama kwenye chagizo ukishindwa unakimbilia kejeli na matusi! FF you are what you are...! Empty minded n pitiful coward who can't stand challenges
 
Na hapa ndipo weledi wako unapoonekana, hunaga ubavu wa kusimama kwenye chagizo ukishindwa unakimbilia kejeli na matusi! FF you are what you are...! Empty minded n pitiful coward who can't stand challenges

Hapo sijakutusi nimeuelezea uwezo wako, ni sifa kubwa sana hiyo.

Eti unajifunza kupaa, unataka kutuletea uongo wa huyo Mwalimu wako? mwenye kupaa anasema? thubutu.
 
Hivi hapa kuna mada tena? wakati mleta mada kadanganya na tumembamba anadanganya! Hapa iliyobaki watu wapige porojo tu.

cc TRIPLE H

Nimesoma ile post yako ya 112.
Nikaon nikuulize swali, uongo wa mleta mada ni upi…? Kusema mji badala ya jimbo…? Au maudhui yote yanaonekan na uongo…?
Kama hoja ni kuwa yey kasema mji badal ya jimbo au sidhani ni kama hoja strong ya kuharibu uzi huu.
 

Yani hiyo post no 112 ndio bingo yake! Yani kaona katoa bonge la post mpaka aipe promo namna hiyo! Nilitegemea wachangiachi wengine ndio waifanyie reference lakini sijaona hata mmoja kabaki nayo pekeyake akijaribu kwa nguvu zote kuipa uzito usiostahili
Kama humfahamu ff unaweza kupata naye shida sana, kuishi Canada (kama ni kweli) anaona ni bonge la ujanja! Muulize alikuwa anafanya nini huko! (Ni siri yake) sana sana utaambulia mitusi
 
hahahahahahahhahaahhahaha 1. anayeyetaka kufunga mzigo china na kuja kuuza bongo.
hahahahahahhhahaahhahaahh 2. utajua kupaisha mashuzi

mshana sorry na dina mmenichekesha:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:
 
Hmmmm! Huna kwingine ambako ungependa kupaa zaidi ya kwa DHAIFU!? Nauliza tu lol! hahahahahahaha

Acha tu watanzania mngenipenda, Dhaifu, chenge,muongo wangenikoma, fisad yoyote angejuta!!

Sasa hawa wanaoshika matako watu what for???? Kwani wao hawana matako? Wafanye madumba bas yenye manufaa kwa wengi.
 
Reactions: BAK
Hahahahahaha lol! labda wanaona raha kushika ya wenzao badala ya kushika ya kwao. Hujachelewa lakini pata utalaamu wa kupaa kutoka kwa wahusika ili utupe raha Watanzania.


Acha tu watanzania mngenipenda, Dhaifu, chenge,muongo wangenikoma, fisad yoyote angejuta!!

Sasa hawa wanaoshika matako watu what for???? Kwani wao hawana matako? Wafanye madumba bas yenye manufaa kwa wengi.
 
Acha tu watanzania mngenipenda, Dhaifu, chenge,muongo wangenikoma, fisad yoyote angejuta!!

Sasa hawa wanaoshika matako watu what for???? Kwani wao hawana matako? Wafanye madumba bas yenye manufaa kwa wengi.

Mbona kupaa ni simple sana, sema watu wanacomplocate mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…