Wala usimbishie, hayo ni mambo yenu yanayoendana na majini.Huyo TRIPLE H aliyeleta hii "story" siyo mkweli, nimembamba, soma post namba 112.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala usimbishie, hayo ni mambo yenu yanayoendana na majini.Huyo TRIPLE H aliyeleta hii "story" siyo mkweli, nimembamba, soma post namba 112.
Ontario si jiji wala si mji, kumbuka hilo.
Huna ulijuwalo, kwani sijaona jioya lolote kutoka kwako, hilo pia kumbuka. Mpaka sasa niliouona kutoka kwako uongo mtupu, hilo ndilo ndiyo ulijuwalo.
Huna jipya.
Never mind yote hayo nataka kujifunza kupaa na hicho ndio kipaumbele changu kwasasa mengine kaanzishe uzi wako
Wala usimbishie, hayo ni mambo yenu yanayoendana na majini.
Jimbo kuliita mji bado haifanyi stori yote iwe uongo, kiherehere kiko wapi sasa! Mshukuru Membe kukuwezesha kurudi nyumbani.Nisome vizuri post yangu halafu utaelewa nilichokiona uongo ni nini.
Mimi nimeueleza wazi uongo niliouna kuwa anadanganya wazi wazi, rudia kanisome tena, wacha kiherehere.
Hahahaha hebu tusepe hapa maana mie hadi kuna id naanza kuziogopa
Wewe labda upaishe mashuzi tu, huna zaidi.
Hahahaha!! Bora hata wewe ungekuwa tajiri na wengi ungewasaidia kuliko wanaochezea watu tu akili......Mimi ningelipata elimu hii kila siku ningepaa kwa mkuu wa kaya na wizara Zake wakitaka kufanya dili zao za ufisadi tu nawaumbua vibaya, wangenikoma walahi!!!!
Wewe labda upaishe mashuzi tu, huna zaidi.
Na hapa ndipo weledi wako unapoonekana, hunaga ubavu wa kusimama kwenye chagizo ukishindwa unakimbilia kejeli na matusi! FF you are what you are...! Empty minded n pitiful coward who can't stand challenges
Hivi hapa kuna mada tena? wakati mleta mada kadanganya na tumembamba anadanganya! Hapa iliyobaki watu wapige porojo tu.
cc TRIPLE H
Nimesoma ile post yako ya 112.
Nikaon nikuulize swali, uongo wa mleta mada ni upi ? Kusema mji badala ya jimbo ? Au maudhui yote yanaonekan na uongo ?
Kama hoja ni kuwa yey kasema mji badal ya jimbo au sidhani ni kama hoja strong ya kuharibu uzi huu.
Hmmmm! Huna kwingine ambako ungependa kupaa zaidi ya kwa DHAIFU!? Nauliza tu lol! hahahahahahaha
Acha tu watanzania mngenipenda, Dhaifu, chenge,muongo wangenikoma, fisad yoyote angejuta!!
Sasa hawa wanaoshika matako watu what for???? Kwani wao hawana matako? Wafanye madumba bas yenye manufaa kwa wengi.
Acha tu watanzania mngenipenda, Dhaifu, chenge,muongo wangenikoma, fisad yoyote angejuta!!
Sasa hawa wanaoshika matako watu what for???? Kwani wao hawana matako? Wafanye madumba bas yenye manufaa kwa wengi.