Sitaki tena kupaa angani

Sitaki tena kupaa angani

Hebu koma huko, bado akufundishe alafu uje usiku kutugongea eenh ??!!! ..................nenda kapaaehuko!

ha ha ha jamani mbona mnanikomalia nataka kupaa kwa yeyote anaejua jinsi ya kupaa anifundise serious nipo nahitaj hii kitu
 
tuoche kuuzunguka mbuyu,hizi knowladge zote hizi za kupaa usiku,sijui kutoka nje ya mwili nk.ni kati ya zile knowladge ambazo mw anadamu haruhusiwi kuzijua au kujifunza.mara nyingi hufundwishwa kwa siri kwenye ma lodge ya ki freemason kuendana na rank zao.be warned.
 
ha ha ha jamani mbona mnanikomalia nataka kupaa kwa yeyote anaejua jinsi ya kupaa anifundise serious nipo nahitaj hii kitu
Hiyo elimu ya kupaa inapatikana kwa "Waanga Bibi mzaa bibi yake mama yule ni Mwanga" Wewe njoo pale kwa Mzee Robo tatu.... ntakujulisha nao ukikubalika watakufunza !!
 
usihuzunishwe na kukatishwa tamaa na watu ambao hajawahi kukutana na hizo hali, binafsi kuna habari zangu binafsi huwa nasita kuziweka hapa lakini ningependa mno nijifunze toka kwako jinsi ya kupaa, nilifika hatua fulani lakini nikaacha NINGEPENDA KUJIFUNZA SASA[/QUOTE]

Asilimia kubwa uwa wanakufa kipindi cha mazoezi tu..ukifuzu shukuru sana
 
Kwa hiyo mkuu TRIPLE H inawezekana hata viumbe kama popobawa ni story tu ila ni watu kama wewe ndio mnawafanya vibaya wenzenu?
 
Last edited by a moderator:
Rakims ni kweli kuna loose ends nyingi kwenye post ya TRIPLE H lakini, bado kuna mengi si ya kupuuza, labda niseme kwamba alibase zaidi kwenye kuelezea kilichotokea na hapo nyuma na hakutaka kuweka details za nini kufanyike mtu aweze kupaa, labda kwa hitaji la jukwaa anaweza kuja na hili sasa
Kuna hii story labda niisimulie Leo
Miaka hiyohiyo ya tisini nilipata rafiki aliyekuwa na hizi 'supernatural powers!' Alikuwa ananichukua halafu tunakaa pale ubungo lilipo kanisa la Gwajima kwa sasa, pale kuna kimlima hivyo tukikaa pale tunaiangalia barabara kwa chini jamaa alicheza na akili za watu mno
Ilikuwa hivi anatulia kimya anaconcentrate kisha ananyoosha kidole kwa mhusika basi inakuwa kama remote anampeleka mbele au kumrudisha yani kama kumzuzua vile
Hakutaka kuniambia hasa nini kilikuwa kinafanyika lakini alinipa hamasa kubwa mno kujifunza hii elimu

Huyo jamaa yako alikuwa anacheza na akili na macho yako
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom