Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman nataka kupaaa usinibanie bana
Hata me nimemshangaa
Labda utasababisha uone asivyotaka usivione
Labda utasababisha uone asivyotaka usivione
Ahhhha jamani najifunza nikishajua tu nasepa naacha kabisa
naaaam na hilo ndo kubwa!!ataona na kufika asipotakiwa!!!hiyo atufundishe sisi ili tuwe tunafanya kama yeye ofcn...tena mchana kweupeeeeeee
hii ni special kwa wanaume tu...ili tujenge heshima ofc!!
Hebu koma huko, bado akufundishe alafu uje usiku kutugongea eenh ??!!! ..................nenda kapaaehuko!mkuu samahani kabla hujaacha hebu nifundishe na mimi kupaa.
Hebu koma huko, bado akufundishe alafu uje usiku kutugongea eenh ??!!! ..................nenda kapaaehuko!
Hiyo elimu ya kupaa inapatikana kwa "Waanga Bibi mzaa bibi yake mama yule ni Mwanga" Wewe njoo pale kwa Mzee Robo tatu.... ntakujulisha nao ukikubalika watakufunza !!ha ha ha jamani mbona mnanikomalia nataka kupaa kwa yeyote anaejua jinsi ya kupaa anifundise serious nipo nahitaj hii kitu
Hiyo elimu ya kupaa inapatikana kwa "Waanga Bibi mzaa bibi yake mama yule ni Mwanga" Wewe njoo pale kwa Mzee Robo tatu.... ntakujulisha nao ukikubalika watakufunza !!
Rakims ni kweli kuna loose ends nyingi kwenye post ya TRIPLE H lakini, bado kuna mengi si ya kupuuza, labda niseme kwamba alibase zaidi kwenye kuelezea kilichotokea na hapo nyuma na hakutaka kuweka details za nini kufanyike mtu aweze kupaa, labda kwa hitaji la jukwaa anaweza kuja na hili sasa
Kuna hii story labda niisimulie Leo
Miaka hiyohiyo ya tisini nilipata rafiki aliyekuwa na hizi 'supernatural powers!' Alikuwa ananichukua halafu tunakaa pale ubungo lilipo kanisa la Gwajima kwa sasa, pale kuna kimlima hivyo tukikaa pale tunaiangalia barabara kwa chini jamaa alicheza na akili za watu mno
Ilikuwa hivi anatulia kimya anaconcentrate kisha ananyoosha kidole kwa mhusika basi inakuwa kama remote anampeleka mbele au kumrudisha yani kama kumzuzua vile
Hakutaka kuniambia hasa nini kilikuwa kinafanyika lakini alinipa hamasa kubwa mno kujifunza hii elimu