Sitaki tena kupaa angani

Labda Rakims na TRIPLE H kama hamtajali fanyeni tuonane sisi watatu na wengine wenye interest pia! Nafikiri kuna mengi ya kushirikishana
mshana jr kuna jambo hapa hizi supernatural powers zina mambo mengi sana ambayo kimwili ni ngumu kuyajua.
mie niliwah kumwambia mtu nikitaka kukupata nitakupata akasema hapana, nikamwambia leo kila utakapokuwa nitakuambia uko wapi na unafanya nini. ukweli nilimwambia na kila alichokifanya nilikisema alishangaa sana.

nikamjibu kila mtu anaouwezo wa kuona mambo ya mbelen na unaweza kuyaita ama kuyakataa basi ukweli mie kuna watu huwa wananiogopa kabisa lkn naweza kuona jambo liwe baya ama zuri linalotokea sema siendekez sana manake muda mwingine yanatisha sana.
 
Last edited by a moderator:

Unamiliki kitu cha thamani bila kujijua
 
Last edited by a moderator:
Unamiliki kitu cha thamani bila kujijua


af kuna muda nikimkumbuka tu mtu nakuwa kama ninamwita ama anipigie simu ama aje anitembelee dk chache mbelen
hali hii imenifanya kila nikitaka kumuona mtu basi nasema akilin mwangu funan anipigie kweli atapiga

nimewaza hii ni aina gani ya supernatural power nikaamua kwenda kuisoma ndipo nilipogundua ni aina mojawapo ambayo ina deal zaid na utoaji wa amri zisizo na mashaka ndani yake na kinachofanya yatekelezeke ni ile imani kwamba nisemapo hivyo huwa sina kubadilika ama kuwaza zaid ya kuona litatendeka tuuu.

kuna nguvu kubwa sana katika kuamini jambo bila kuwepo na hata chembe ya shaka na huu ndio ufungua mkubwa sana kwenye kupata mengine unayotaka kupata.

majuzi nilijisemea nimechoka kufanya kazi ninapofanya nataka nibadili taasisi. i just sat down and say it inside me bila wasiwasi kabisa. next day i was called kwenye meeting nikakutana na watu tofauti tukaongea nikasema nataka nibadili kazi huwez amini niliambiwa njoo kwetu mtu wa aina yako ameondoka so kuna vacant position. nilienda bila hata interview nikapewa nafasi.

hivi toka mwez huu wa 3 niko kwenye kazi taasisi tofauti. kisa hiki kinanifanya nione kwamba imani ndio ufunguo w ahaya yote. na ukiwa na imani tayari unafungua hata usivyoweza kudhani. mie kila nilitakalo huwa naliona kwa positive mind tu since nigundue hayo na ile positivity ina ni drive kwenye good ends always
 
Ningebahatika kupata knowledge ya kupaa safari yangu ya kwanza ni Federal reserve ya Bank of America,nikikosa sana basi pale BOT nichukue cha kunitosha nisepe!
 
Mkuu kabla hujaacha nifundishe Mimi hiyo elimu..... ili nkurithii......napendaje sasaaa.....
 
Ningebahatika kupata knowledge ya kupaa safari yangu ya kwanza ni Federal reserve ya Bank of America,nikikosa sana basi pale BOT nichukue cha kunitosha nisepe!

Hahahaha!! Bora hata wewe ungekuwa tajiri na wengi ungewasaidia kuliko wanaochezea watu tu akili......Mimi ningelipata elimu hii kila siku ningepaa kwa mkuu wa kaya na wizara Zake wakitaka kufanya dili zao za ufisadi tu nawaumbua vibaya, wangenikoma walahi!!!!
 
Ni Kweli Mkuu Rakims Ulivyosema ukiweza kupotea na kurudi tena umewanga teyari yaani umesha kuwa ni mchawi.
 
Last edited by a moderator:
Kupaa upae kwa siri, kuacha utukusanye mkutano, kama kweli ulikuwa unapaa, basi kupaa kumekuathiri sana.

kwa habari ya kuwagonga madem, utauza saana.

We ni muelewa sana. Hiyo ndio biashara inayotangazwa hapa, ingawa imetumika njia ndefu kufikisha ujumbe kiasi kwamba hata wateja wanaweza wasielewe
 
Ni kama picha za kina Aunt Ezekiel...bint tajiri anampenda kijana masikini,kuna mawili binti kumwezesha masikini wa watu na ndoa inafuatia ama binti kujiua baada ya wazazi kumkatalia...embu tusubiri huyu skydiver anataka kutuambia nini!

haahahahaha

duuuh
 
tumsubiri maana nina shida ya kupaa

Naingia mashuani kwenda kucheki chochote baharini naoni hali ya bahari imetulia...huyu skydiver akirudi naomba uniulizie alikuwa taifa gani leo? na changamoto za anga zikoje!
 
Kwa maana hiyo "mkuu rakims." Kwenye ule uzi wake alitaka kututoa kafara.?!
 
Naingia mashuani kwenda kucheki chochote baharini naoni hali ya bahari imetulia...huyu skydiver akirudi naomba uniulizie alikuwa taifa gani leo? na changamoto za anga zikoje!

Poa poa usijali niko hapa sibanduki
 
Mliosoma Far east nadhani mmemuelewa zaidi.
Jibuni basi hivyo viswali vya wachangiaji au mfarijini mwenzenu asiache mliyojifunza huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…