Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Japan au Canada !!!nataka ya mtoa mada bana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japan au Canada !!!nataka ya mtoa mada bana
Huyo jamaa yako alikuwa anacheza na akili na macho yako
mshana jr kuna jambo hapa hizi supernatural powers zina mambo mengi sana ambayo kimwili ni ngumu kuyajua.
mshana jr kuna jambo hapa hizi supernatural powers zina mambo mengi sana ambayo kimwili ni ngumu kuyajua.
mie niliwah kumwambia mtu nikitaka kukupata nitakupata akasema hapana, nikamwambia leo kila utakapokuwa nitakuambia uko wapi na unafanya nini. ukweli nilimwambia na kila alichokifanya nilikisema alishangaa sana.
nikamjibu kila mtu anaouwezo wa kuona mambo ya mbelen na unaweza kuyaita ama kuyakataa basi ukweli mie kuna watu huwa wananiogopa kabisa lkn naweza kuona jambo liwe baya ama zuri linalotokea sema siendekez sana manake muda mwingine yanatisha sana.
Unamiliki kitu cha thamani bila kujijua
Japan au Canada !!!
Very interesting ......
Ningebahatika kupata knowledge ya kupaa safari yangu ya kwanza ni Federal reserve ya Bank of America,nikikosa sana basi pale BOT nichukue cha kunitosha nisepe!
Ni Kweli Mkuu Rakims Ulivyosema ukiweza kupotea na kurudi tena umewanga teyari yaani umesha kuwa ni mchawi.Nashukuru Kwa Kunipitisha Hapa Lakini Hii Alietoa Haina Mashiko Kuwa Itakupa Mtu Uwazi Kwamba Alieongea Huyu, Yeyote Anaweza Kuyasema Kwa Kutunga Ubongoni Kwa Muda Mfupi Je Umeona Sehemu Kasema Alijifunzaje? Aliwezaje!? Alipitia Hatua Zipi?
alipata faida gani? alipata hasara gani!? alikutana na nani!? ningechangia lakini imekaa tenge labda wenzangu hapo lakini mimi naona ni kama script tu imetengenezwa kupima je, itapokelewaje!? ni sawa na wewe utokee useme "Nilifundishwa Na Bibi Kuwanga Siwangi Tena"? wewe alikufundishaje? toka nimeanza kujifunza sijawahi kuskia mtu ana psychic power ya kujipoteza mwili na kurudia zaidi ya kuona movies tu za kufikirika... dissapear ni uchawi na uchawi uliowazi kama alikufundisha ulozi hapo sawa....
Msiamini Amini Ya Kusikia Practice Mwenyewe Uone Is This True? na ukiweza kupotea na kutokea basi jua umewanga tayari......
sijui wewe unalitizamaje hili MziziMkavu mshana jr nduki Pasco
"Rakims"
Hata mimi pia...pamoja na ile ya kukakua ...mkuu samahani kabla hujaacha hebu nifundishe na mimi kupaa.
Hata mimi pia...pamoja na ile ya kukakua ...
Kupaa upae kwa siri, kuacha utukusanye mkutano, kama kweli ulikuwa unapaa, basi kupaa kumekuathiri sana.
kwa habari ya kuwagonga madem, utauza saana.
Ni kama picha za kina Aunt Ezekiel...bint tajiri anampenda kijana masikini,kuna mawili binti kumwezesha masikini wa watu na ndoa inafuatia ama binti kujiua baada ya wazazi kumkatalia...embu tusubiri huyu skydiver anataka kutuambia nini!
tumsubiri maana nina shida ya kupaa
Naingia mashuani kwenda kucheki chochote baharini naoni hali ya bahari imetulia...huyu skydiver akirudi naomba uniulizie alikuwa taifa gani leo? na changamoto za anga zikoje!