TRIPLE H
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 651
- 349
- Thread starter
- #101
Siwezi kutumia nafasi hii kufundisha mambo ambayo kwangu hayajanifaidia zaidi ya kuniharibia. Zaidi naweza sema wale wanaobisha waendelee kubisha lakini hili halitaondoa ukweli kuhusu uzoefu huu wa kupaa na kufanya mambo mengineyo abnormal. Wanaopenda kujifunza wafanye lakini kwa hasara yao na hata jijini Lagos nchini Nigeria sasa wabudha wamefungua secret society na wanaopenda kuonja kila radha wanajisajili kwa mnaotaka jisajilini au nendeni pale Upanga barabara ya A.H. Mwinyi fuatilieni taratibu ukipitapita maeneo hayo kwa mara tatu kwenda na kurudi kwa siku saba mfululizo utahisi kitu fulani mwilini na wepesi wa namna fulani na hapo utaanza kuota ndoto za mambo ya sirini mjumbe akikutokea na kukupeleka utakapochagua mwende.
Mkizoeana utaelewa zaidi. Jijini Nairobi, Luthuli street mambo hizo zinafanyika sana na watu mwanzoni wana enjoy lkn baada ya muda................
Rwagasore street, jijini Mwanza au Unga ltd Arusha, elimu hii utaipata kwa watu wa Yoga fuatilia utagundua wako lodge gani.
Mimi naweza kumeditate kwa dk. zisizozidi ishirini nikaondoka kwenye mwili wangu na kwenda ninapotaka nikitumia ndizi, kiazi chochote, unyoya wa ndege au ukucha.
Nawezaingia ndani ya chumba cha mtu (lkn niwe namfahamu) na kujichukulia chochote hasa nguo za ndani, hela, vitabu nk kwa ajili ya 'kazi' fulani.
Naweza lala na mkeo na wewe ukiwepo hapo hapo au nikijigeuza mke naweza lala na mmeo lkn matokeo yake m/mke niliyelala naye hawezi pata affection kwa mumewe na kama ni m/me nguvu zake za kiume zinapungua au zinaisha!
Nawezaeleza mengi kwa ushahidi lkn siyapendi na yameniharibia maisha na kuumiza wengine.
Mkizoeana utaelewa zaidi. Jijini Nairobi, Luthuli street mambo hizo zinafanyika sana na watu mwanzoni wana enjoy lkn baada ya muda................
Rwagasore street, jijini Mwanza au Unga ltd Arusha, elimu hii utaipata kwa watu wa Yoga fuatilia utagundua wako lodge gani.
Mimi naweza kumeditate kwa dk. zisizozidi ishirini nikaondoka kwenye mwili wangu na kwenda ninapotaka nikitumia ndizi, kiazi chochote, unyoya wa ndege au ukucha.
Nawezaingia ndani ya chumba cha mtu (lkn niwe namfahamu) na kujichukulia chochote hasa nguo za ndani, hela, vitabu nk kwa ajili ya 'kazi' fulani.
Naweza lala na mkeo na wewe ukiwepo hapo hapo au nikijigeuza mke naweza lala na mmeo lkn matokeo yake m/mke niliyelala naye hawezi pata affection kwa mumewe na kama ni m/me nguvu zake za kiume zinapungua au zinaisha!
Nawezaeleza mengi kwa ushahidi lkn siyapendi na yameniharibia maisha na kuumiza wengine.