kiroboto21
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 887
- 325
Walishakuingia nini kwenye "papuchi" yako? unaonesha una ujuzi.
Duh!!!hii kali aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishakuingia nini kwenye "papuchi" yako? unaonesha una ujuzi.
Huna lolote faiza na huwezagi kukubali mitazamo ya wengine! Unachojua wewe ni kudhani kwamba chochote usichokubaliana nacho ni uongo that's shallow mind...!!! N shallow minded people like you are always short tempered!
hii ni kweli kwamba Membe ndo alimrudisha nchini????Jimbo kuliita mji bado haifanyi stori yote iwe uongo, kiherehere kiko wapi sasa! Mshukuru Membe kukuwezesha kurudi nyumbani.
hii ni kweli kwamba Membe ndo alimrudisha nchini????
Jimbo kuliita mji bado haifanyi stori yote iwe uongo, kiherehere kiko wapi sasa! Mshukuru Membe kukuwezesha kurudi nyumbani.
Huyo mtu ni muongo kasome post namba 221 nimembamba tena uongo wake, tena safari hii wa kijinga kabisa.
Kwa maelezo yake triple H haijui Canada kabisa,ilo linaonekana FaizaFoxy,me nauliza ni kweli Membe ndo alikurudisha nchini???
Porojo hizo za JF. Membe hata kumjuwa simjui zaidi ya kumwona kwenye picha.
Wacha uongo na porojo, kasome tena, labda hujanisoma vizuri, nimekukosoa pia kuhusu Fort Hills na kuhusu Saskatchewan, zote hizo ni "ukachanganya"? unataka kutuaminisha Ontario ni "typing error" ya Ottawa?? wapi na wapi?
Bado unaendeleza uongo! unasikitisha sana, Canada ina (Provinces) majimbo 10 (Kumi) na si matatu kama utakavyo wewe. Ontario ni jimbo la pili kwa ukubwa na ni lenye wakazi wengi zaidi katika Canada (most populous province).
Nnakushangaa sana unaposema "Kama siku hizi Ontario nalo ni jimbo hilo mi sijui naelezea mambo ya miaka ya '90.". Khaa, Ontario ni kati ya majimbo mawili ya kwanza Canada kuanzia mwaka 1841 zilipoungana Canada Magharibi (Ontario) na Canada Mashariki (Quebec). Sasa uwepo Canada 1990 usijuwe kama Ontario ni jombo? hivi uongo huwa unawasaidia nini?
Hilo la Fort Hill ndiyo hunambii kitu nenda kafanye tena home work yako. Huko nnapajuwa zaidi ya nnavyoijuwa Tanzania. Kumbuka hilo.
Sasa nnamwaga mboga, ugali na nnapindua masufuria yote. Nnaumaliza huu ubishi na uongo wako na wa huyo mwanafunzi wako ajiitae Mshana Jr. akujuwe kuwa mwalimu wake u muongo na wote humu JF wakujuwe kuwa wewe ni muongo tena wa kutupwa jalalani, tena unafaa upigwe ban kwa uongo kama huu, wa kuidanganya jamii nzima ili iwe fundisho kwa wengine kama wewe:
Uongo mkubwa zaidi wa yote ni huo wa Hudson University. Hakuna kitu kama hicho Canada.
Hiyo Hudson University iko wapi Canada au kwengine kokote? unatazama vipindi vya TV na Cinema za Kimerekani unaona jina Hudson University ambayo ni University ya kwenye kuigiza na si ya kweli unakuja kutudanganya hapa?
Hivi huwa mnafikiri wote ni misukule humu ndani ya JF.
Wacha Uongo.
Wewe si punguani wahed, wewe ni punguani millioni.
Huyu triple h kweli ni muongo, sijui lengo la kuidanganya JF ni nini hasa! Hiyo habari ya kusaidiwa na Membe naiweka pembeni, wengi hampendi mambo yenu kufahamika, usije nitoa roho.Kamtetee tena post namba 221, halafu uje na porojo zako za Maembe badala ya Membe safari hii.
Nami nataka nipae nifike kileleni
Wacha uongo na porojo, kasome tena, labda hujanisoma vizuri, nimekukosoa pia kuhusu Fort Hills na kuhusu Saskatchewan, zote hizo ni "ukachanganya"? unataka kutuaminisha Ontario ni "typing error" ya Ottawa?? wapi na wapi?
Bado unaendeleza uongo! unasikitisha sana, Canada ina (Provinces) majimbo 10 (Kumi) na si matatu kama utakavyo wewe. Ontario ni jimbo la pili kwa ukubwa na ni lenye wakazi wengi zaidi katika Canada (most populous province).
Nnakushangaa sana unaposema "Kama siku hizi Ontario nalo ni jimbo hilo mi sijui naelezea mambo ya miaka ya '90.". Khaa, Ontario ni kati ya majimbo mawili ya kwanza Canada kuanzia mwaka 1841 zilipoungana Canada Magharibi (Ontario) na Canada Mashariki (Quebec). Sasa uwepo Canada 1990 usijuwe kama Ontario ni jombo? hivi uongo huwa unawasaidia nini?
Hilo la Fort Hill ndiyo hunambii kitu nenda kafanye tena home work yako. Huko nnapajuwa zaidi ya nnavyoijuwa Tanzania. Kumbuka hilo.
Sasa nnamwaga mboga, ugali na nnapindua masufuria yote. Nnaumaliza huu ubishi na uongo wako na wa huyo mwanafunzi wako ajiitae Mshana Jr. akujuwe kuwa mwalimu wake u muongo na wote humu JF wakujuwe kuwa wewe ni muongo tena wa kutupwa jalalani, tena unafaa upigwe ban kwa uongo kama huu, wa kuidanganya jamii nzima ili iwe fundisho kwa wengine kama wewe:
Uongo mkubwa zaidi wa yote ni huo wa Hudson University. Hakuna kitu kama hicho Canada.
Hiyo Hudson University iko wapi Canada au kwengine kokote? unatazama vipindi vya TV na Cinema za Kimerekani unaona jina Hudson University ambayo ni University ya kwenye kuigiza na si ya kweli unakuja kutudanganya hapa?
Hivi huwa mnafikiri wote ni misukule humu ndani ya JF.
Wacha Uongo.
Wewe si punguani wahed, wewe ni punguani millioni.
Kanisome post namba 221 nilivyomkamata tena kwa uongo mwalimu wako, tena safari hii sijui kama atarudi tena kujitetea. Maana kadanganya uongo wa kijinga kabisa kuliko ule ujinga wa mwanzo niliomsasambuwa.
Shetani anawatumia binadamu na vibaraka vyake majini katika kuwavuta wengi katika himaya yake. Mambo haya mwanzo yalijulikana kama uchawi ila sasa kutokana na maendeleo ya kisayansi and everything at large tunayaona kama ni ya kawaida. Kiukweli haya ndio mambo ambayo yanamuhusu Mungu na maraika zake tu na hakutaka hata binadamu tuyafahamu kwasababu hatutayatumia katika njia sahihi zaidi ya mabaya na machukizo mbele zake.
Hizi ni zama za mwisho na shetani anajitahidi sana kuwavuta wengi kupitia maendeleo na kupanua knowledge za wanadamu ili wayachukulie haya mambo ni kawaida and we deserve to have this knowledge.
Angalieni ndugu zangu, mtoa mada amekili mwenyewe kuwa anataka kuacha na kumfuata Mungu. Sasa la kujiuliza kwamba yuko tayari kumjua Mungu na kumfuata that means aliyokuwa akiyafanya ni mambo yanayomhusu shetani katika kukufanya umchukie Mungu nawe uwe chukizo mbele za Mungu. Be aware of it
Huyu triple h msanii sana.
Amesoma vitabu vya hadithi na kuangalia sinema za mazombi then anajifanya yeye ndio sterling wa hizo sinema.