Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vema ukaishia hapo ila usirudi nyuma! Ukiendelea zaidi meditation hukupa macho ya kuona zaidi si kitu kizuri sana kwasisi tunaomuabudu Mungu mmoja
Mwaka 1998 nilirudi nyumbani kwa matatizo ya kifamilia, sikuwepo nchini kwa miaka 2 mfululizo na huko nilikokuwa nilikuwa nimezama kabisa kwenye meditation kiasi cha kutabiri safari yangu yote
Nilifika Tanzania mchana wa SAA kumi siku ya ijumaa, Jumapili yake nikaenda kanisani nilikuwa nimechelewa na ibada ilikuwa imeshaanza na viti vimejaa, lakini kwa bahati mbele kabisa kulikuwa na nafasi
Sasa ile napita kutoka nyuma nilihisi kabisa napambana na kama nguvu nyingine kubwa zaidi na kwakweli waumini wote niliokuwa nawapita walikuwa wanavibrate kama wamepitiwa na shoti ndogo
Niliporudi chuoni nilijiwekea limitations kwenye meditation
Ndiyo hayo mliyokusudia, kutupeleka kanisani, nilijuwa hiki kisa cha uongo kitaishia huko tu.
Wewe utabiri nini wewe? wacha uongo, hakuna aijuae kesho.
To me you are jus another s.h.I.t, smalltime b.!t.CH, dhaifu wa hoja usiye na lolote, mpuuzi fulani mwenye akili finyu kama matako ya bata...! Wewe kwangu ni kinyesi tu na kinyesi sehemu yake ni chooni
Faiza sole yangu ya kiatu ina thamani kuliko wewe mara milioni
To me you are jus another s.h.I.t, smalltime b.!t.CH, dhaifu wa hoja usiye na lolote, mpuuzi fulani mwenye akili finyu kama matako ya bata...! Wewe kwangu ni kinyesi tu na kinyesi sehemu yake ni chooni
Faiza sole yangu ya kiatu ina thamani kuliko wewe mara milioni
Mkuu Mshana Jr. Kuna wakati ulinipa ushauri mzuri sana.
Practice what you preach my friend.
Use your positive energy positively!
fungua uzi wangu wa jinsi ya kutoka nje ya mwili itakufumbua jinsi ya kupaa
"Rakims"
Nataka kupaa
Thanx Tokyo40, lakini kuna wakati lazima mtu ukereke, hasahasa unapodili na mtu ambaye hataki kukubali mawazo ya wengine unamwelesha kwa upole kabisa hasikii unamkanya bado tu ana wewe unamwambia live kwamba sitaki mijadala na wewe bado mtu hasikii inafika mahali huna jinsi
Sio tabia kutoa lugha chafu na kwakweli huwa nakwepa mno mijadala yenye mwelekeo huo, hata mimi kuna mada na post sukubaliani nazo lakini sijawahi kumzodoa mtu tunatofautiana kwa kila kitu na kwakweli hatufanani lakini mtu anapokuwa pashkuna kiasi hiki kuna mahali inafika unakosa subra
Mkuu Mshana Jr. Kuna wakati ulinipa ushauri mzuri sana.
Practice what you preach my friend.
Use your positive energy positively!
Tatizo wengi wetu tunaridhika na vidarasa tulivyopita Tuko kwwnye Comfort zone. Hata mPHd holders hawatafuti elimu ya ziada.
Huko Asia na marekani watu wanagundua vitu vingi sana kwa sababu wana elimu ya ziada ya kutambua binadam ni nini na ana uwezo gani. Wanajua siri kuu kati ya Mungu ..Omnpotent na binadamu.
Hapa Jf ukizungumza habari ya meditatation, Astra body, universal power, omnipotent , omniscient, mind,..concious mind na subconcisous mind , Thought ,positive energy na negative energy etc etc watu wanakuona chizi au
mchawi.
Huyu jamaa alikuwa anapractice AOB ..out of body experience. Sio kama wengi walivyoelewa hapa.
You can go anywhere as astra body.
Naomba kujua madhara yatakayo nipata endapo nitakosea japo kiduchu
hapo juu umetumia lugha isiyofaa, hata kama umekasirika, mme asirara mche, tafadhali tubadili lugha zenye ukakasiTo me you are jus another s.h.I.t, smalltime b.!t.CH, dhaifu wa hoja usiye na lolote, mpuuzi fulani mwenye akili finyu kama matako ya bata...! Wewe kwangu ni kinyesi tu na kinyesi sehemu yake ni chooni
Faiza sole yangu ya kiatu ina thamani kuliko wewe mara milioni
Kukosea ni nini? Ukifanya meditation uwe na positive thought. Ukiwa na negative thinking utaishia kupata negative energy. Tuseme ukitaka kuwa jambazi through meditation utakuwa. Ila ujambazi sio positive energy.
hapo juu umetumia lugha isiyofaa, hata kama umekasirika, mme asirara mche, tafadhali tubadili lugha zenye ukakasi
Ndiyo hayo mliyokusudia, kutupeleka kanisani, nilijuwa hiki kisa cha uongo kitaishia huko tu.
Wewe utabiri nini wewe? wacha uongo, hakuna aijuae kesho.
Bi dada@FaizaFoxy sijawahi kuona comment yako yoyote ambayo hujalenga itikadi za kidini.Kuna baadhi ya vitu kama hukubaliani navyo kaa kimya tu dada angu
"Analyse"