Sitakusahau Morogoro Msamvu

Sitakusahau Morogoro Msamvu

No usijali
Mweleze ukweli kuwa ulikuwa na ugwadu miezi 8. Hujapata kitumbua.
Halafu unapompa mwanamke hela usionyeshe hela zako ungetenga pembeni hiyo arobaini au ungempa kabisa night.
Usipende kuonesha hela hadharani hata kama ni makubaliano.
Mweleze boss ukweli don't worry. Ur a man
chief hili nimelichukua aixee japokuwa sidhani kama boss akinisamehe nitathubutu kuchukua tena malaya
 
Mkuu kama nakuona vile. Yaani soo kama hili mida hii unajiskia kufakufa, njaa haiji na hutaman kula, ukimuona boss kila anachofanya unadhani anakulenga kumbe huenda hata hana habari na wewe.

Ukute na boss wako yameshamkuta kama hayo, hapo anajipa 5 tu kwamba hayupo peke yake dunia hii.
 
chief hili nimelichukua aixee japokuwa sidhani kama boss akinisamehe nitathubutu kuchukua tena malaya
Utachukua tu. Hawa viumbe watamu sana huwa huwezi kuwatenganisha na pombe.

Akili ya mwanadamu imeumbwa kusahau na kujipa moyo. Jiulize kwa nini akina mama wanashika mimba tena pamoja na maumivu wanayopata Leba
 
chief hili nimelichukua aixee japokuwa sidhani kama boss akinisamehe nitathubutu kuchukua tena malaya
Kuwa mwangalifu unapokuwa maeneo ngeni.
Labda nikupe mfano:
Ukienda afrika kusini ukachukua kahaba akikutizama atagundua wewe si mzulu bali ni mgeni,
Hivyo atakupangia gharama kubwa ya kumchukua yeye.
Ndicho ulichokifanya wewe.
Huyo kahaba alijua wewe ni mgeni maeneo hayo.
Kingine umemwonyesha hela,

Na umeshindwa kuonesha msimamo wako kama alisema 40,000/=
Uumpe hiyo hiyo hata Angelia vipi usimuonee huruma
Alishakuona wewe ni dhaifu ndio maana akalilia ili umuongezee.

[emoji16] [emoji16] [emoji95] [emoji379]
 
Wadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa.

Boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40,000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70,000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa.

Boss wangu na dereva wananisubiri mimi tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwani shida nini manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwenye gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.
mkuu hapo msanvu ni balaa hata hivyo mbona amekupiga dau kubwa sana hapo wanakwenda paka buku tano ama ulikula mtandao pia kacheki na ngoma naamini kwa kua ulikua gumbizi lazima ulipiga magulu baja
 
Usiogope mkuu maana unaweza kuta boss wako nae alikuwa na mzigo wake tena wa kilo we wa fote sema usingeonesha mawe mbele yake afu siku ingine angalia type ambazo si tata mbona zinajulikana
 

Huyo sio malaya professional. .....hua wanadai pesa kabla ya huduma
 
Acha tu msamvu kwenda mikumi sio parefu sana lakini niliona kama natoka Dar kwenda kahama au kigoma gari ina kiyoyozi lakn kijasho kwa mbali.
hahahaaaaa kama nakuona vile ulivyotamani mda urudi nyuma urekebshe hilo tukio.......ila ndo vile tena
aa
 
Back
Top Bottom