- Thread starter
- #41
ha ha ha acha ww mimi saa hiv sikumbuki uno nawaza kibarua changu.Uno alilokupa ni kweli la elf 70? Au kakupunja...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha acha ww mimi saa hiv sikumbuki uno nawaza kibarua changu.Uno alilokupa ni kweli la elf 70? Au kakupunja...
chief hili nimelichukua aixee japokuwa sidhani kama boss akinisamehe nitathubutu kuchukua tena malayaNo usijali
Mweleze ukweli kuwa ulikuwa na ugwadu miezi 8. Hujapata kitumbua.
Halafu unapompa mwanamke hela usionyeshe hela zako ungetenga pembeni hiyo arobaini au ungempa kabisa night.
Usipende kuonesha hela hadharani hata kama ni makubaliano.
Mweleze boss ukweli don't worry. Ur a man
Utachukua tu. Hawa viumbe watamu sana huwa huwezi kuwatenganisha na pombe.chief hili nimelichukua aixee japokuwa sidhani kama boss akinisamehe nitathubutu kuchukua tena malaya
Achana na kibarua, hebu nipe habari za msambwanda ulioupata kwanza, unaendana na thamani uliotoa.... Usikute kakupa wa buku ten tuha ha ha acha ww mimi saa hiv sikumbuki uno nawaza kibarua changu.
Hata mi nimeshangaa kweli kweli analeta bei za Moshi town Msamvu unapiga hata kwa 5000 eti.Msamvu hakuna bei hiyo..labda useme elfu saba tu(7000)
Kuwa mwangalifu unapokuwa maeneo ngeni.chief hili nimelichukua aixee japokuwa sidhani kama boss akinisamehe nitathubutu kuchukua tena malaya
mkuu hapo msanvu ni balaa hata hivyo mbona amekupiga dau kubwa sana hapo wanakwenda paka buku tano ama ulikula mtandao pia kacheki na ngoma naamini kwa kua ulikua gumbizi lazima ulipiga magulu bajaWadau hope mpo pouwa juzi nilitokea wilaya ya mvomero huko madizini nikiwa na boss wangu na dereva wetu tulitoka huko madizin turiani mida ya saa kumi na mbili jioni lengo likiwa tuje kulala msamvu ili kesho yake tuwahi kuelekea mikumi kikazi basi tulipofika msamvu tukachukua gesti mitaa fulani ya mafisa.
Boss na dereva walipozama ndani mi nikatoroka nikaelekea mitaa fulani kuna bar inaitwa double view nikachukua manzi mmoja kwa makubaliano ya 40,000 per night nikagonga vi castle lite vya kutosha manzi naye anagonga ndovu tulipomaliza nikaamsha naye gest balaa ni asubuhi demu kaniletea shida balaa anadai tulikubaliana 70,000 hii ni baada ya kuona kitita cha noti balaa.
Boss wangu na dereva wananisubiri mimi tuondoke wakasikia mzozo kugonga mlango nikawafungulia wakanikuta na yule demu boss akauliza kwani shida nini manzi akajibu ananidai 30000 boss akafungua wallet akampa jana nimekaa kwenye gari na mawazo kibao sijui kama boss atanipa tena hizi trip za kuelekea mikoa mbalimbali au ndio mwisho wa kibarua changu.
Alikuwaje mkuu tupe story kodogoWanawake wa morogoro wanajifanyaga watata sana,
Muulize Millard ayo kilichomkuta
hahahaaaaa kama nakuona vile ulivyotamani mda urudi nyuma urekebshe hilo tukio.......ila ndo vile tenaAcha tu msamvu kwenda mikumi sio parefu sana lakini niliona kama natoka Dar kwenda kahama au kigoma gari ina kiyoyozi lakn kijasho kwa mbali.
Na bado ungeibiwa unabahati sana wewe.Ulitakiwa ugonge fasta na kumwacha aende. Unalala na changudoa hadi asubuhi ni upuuzi uliopitiliza.