Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Rais hakukosea kumteua Paul Makonda. Wengi wa wanaomchukia Makonda ni wale waliozoea blabla, shingwini shingwini na kona kona.
* Makonda akiagiza Ofisa kupaza sauti kwenye kisemeo - waovu eti ananyanyasa!
* Makonda akisimamisha watumishi kwa tuhuma kadhaa ili wapishe uchunguzi - waovu eti haki za binadamu!
Ingawa sitamani kuwa RC lkn ikitokea nikawa RC ukali wangu ni zaidi ya Makonda mara 💯. Sitataka utani na akina Lema, Msigwa, Mnyika, Mrema, Heche nk.
* Makonda akiagiza Ofisa kupaza sauti kwenye kisemeo - waovu eti ananyanyasa!
* Makonda akisimamisha watumishi kwa tuhuma kadhaa ili wapishe uchunguzi - waovu eti haki za binadamu!
Ingawa sitamani kuwa RC lkn ikitokea nikawa RC ukali wangu ni zaidi ya Makonda mara 💯. Sitataka utani na akina Lema, Msigwa, Mnyika, Mrema, Heche nk.