RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,516
- 1,775
- Thread starter
-
- #41
Hujui kitu naona stress za January zinakusumbuaHata miye nimeshangaa. Mtu mzima unakuja jf kutangaza kuwa we ni team kiba100!! Dah! Fikiri, gharama zoote hizo kabla hujaiona, wadhani huyo alipokuwa njiani alikuwa anasubiri nini tena alipokuona?? Nadhani hata njiani alikuwa ana loba step kila alipokuwaza kwani utelezi ulikuwa ukimsumbua. We unauita ati Aswan??
Wanawake mkipenda msiongeze kumtamani kama humjui. Wapo wasiojua kukuandaa wanarukia tu ka kipemba. Pole sana ila inaonesha dada wa watu alizidisha tamaa kwako
HaaaaaVita ya mabwawa na vibamia haijawahi isha ni kama ugomvi wa palestina na Israel
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry imeisha lile bwawa tukiweka nyaya linaweza zalisha umeme mwingi sanandiyo hutomsahau kwa hilo tu au stori bado inaendelea
Huyo njaa kali achana naeNa kwenye Tiketi ya ATCL tupunguze nini ili tupate usafiri uliotumika?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaa sawa mkuuMkuu laki tano kodi, laki sita simu + ATCL. Mimi nikienda hapo si lazima atataka cha juu zaidi. HATUKATAI KUHONGA ila mnapohonga muwe mnatufikiria na sisi PANGU PAKAVU TIA MCHUZI
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee najirahumuMkuu,laki 5 kodi,laki 6 simu,laki 4 na ushehe nauli ya ndege,umetumia mil. 1.5 kuogelea,bora ungejichua tu uka`save hiyo hela...pole sana!
Fia mbele yaani nitumie 1.5m afu nikute bwawa nisimind we viptehe tehe..unamaanisha nini mkuu
mtoa mada labda huyo sio wa type yako...
wapo wanaopenda hayo mabwawa,na hawaogelei..
Sali umpate mwenye urefu wa kina chako
halafu hii tabia ya kukutana na wadada huko na kuja kusimulia ni ya kitoto sana..
Basi ngoja nije kwakoNdicho namimi nilichokimaanisha sio kila tundu utapita kuna mengine niyawengine
Sent using Jamii Forums mobile app