Sitamsahau huyu dada

Sitamsahau huyu dada

Hata miye nimeshangaa. Mtu mzima unakuja jf kutangaza kuwa we ni team kiba100!! Dah! Fikiri, gharama zoote hizo kabla hujaiona, wadhani huyo alipokuwa njiani alikuwa anasubiri nini tena alipokuona?? Nadhani hata njiani alikuwa ana loba step kila alipokuwaza kwani utelezi ulikuwa ukimsumbua. We unauita ati Aswan??
Wanawake mkipenda msiongeze kumtamani kama humjui. Wapo wasiojua kukuandaa wanarukia tu ka kipemba. Pole sana ila inaonesha dada wa watu alizidisha tamaa kwako
Hujui kitu naona stress za January zinakusumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nirushie namba yake aje longido nahitaji bwawa
 
Eti Aswan High Dam umenikumbusha sekondari mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiba100 ww, hayo huwa yananifaa sana hasa likiwa na maji ya kutosha tofauti na hiyo mnaita minato sijui maana nadhani nina ulemavu wa via vya uzazi this thing is extra large. Nipe namba yake huenda huyo akadumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tehe tehe..unamaanisha nini mkuu

mtoa mada labda huyo sio wa type yako...

wapo wanaopenda hayo mabwawa,na hawaogelei..

Sali umpate mwenye urefu wa kina chako

halafu hii tabia ya kukutana na wadada huko na kuja kusimulia ni ya kitoto sana..
Fia mbele yaani nitumie 1.5m afu nikute bwawa nisimind we vip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom