Sitaoa mwanamke mwenye mtoto Ila nitaoa msichana asiye na mtoto. Na huyu Muingereza ndio na muandaa

Sitaoa mwanamke mwenye mtoto Ila nitaoa msichana asiye na mtoto. Na huyu Muingereza ndio na muandaa

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
Mimi DJ. DON NALIMISON Ni Mwanamuziki hivyo lazima nioe Mwanamuziki. Mimi Ni producer wa Muziki hivyo lazima nioe producer ili mipango yangu ikae sawa. Mke wa kufanana naye katika makubaliano.

Kama wote ni wasanii mtaishi na kuelewana na kuendana kitabia maana mko field moja. Mimi Sina mtoto hata mmoja (biological child), hivyo siwezi kuoa mwanamke aliyekwishazalishwa. Nataka Binti atakayenilea nami nimlee. Sitaki Binti mwenye maziwa nataka chuchu nizikuze mwenyewe.

Watoto wa Barack Obama wamenipuuza baada ya kushushwa chini lakini watanipigia magoti kipindi Mimi siko tayari.

Nawashukuru Mr. Eugene na Mkewe Keysha kwa kunizalia mke Binti yao Geneva.

IMG_20211015_191633_108.jpg

Screenshot_20211015-182158.png
 
Mimi DJ. DON NALIMISON Ni Mwanamuziki hivyo lazima nioe Mwanamuziki. Mimi Ni producer wa Muziki hivyo lazima nioe producer ili mipango yangu ikae sawa. Mke wa kufanana naye katika makubaliano. Kama wote Ni Wasanii mtaishi na kuelewana na kuendana kitabia maana mko field moja. Mimi Sina mtoto hata mmoja(biological child), hivyo siwezi kuoa mwanamke aliyekwisha zalishwa. Nata Binti atakayenilea nami nimlee. Watoto wa Barack Obama wamenipuuza baada ya kushushwa chini lakini watanipigia magoti kipindi Mimi siko tayari.

Nawashukuru Mr. Eugene na Mkew Keysha kwa kunizalia mke Binti yao Geneva.
View attachment 1975414
Mbona anaonekana kama mvulana ametoka saluni.
 
Mimi DJ. DON NALIMISON Ni Mwanamuziki hivyo lazima nioe Mwanamuziki. Mimi Ni producer wa Muziki hivyo lazima nioe producer ili mipango yangu ikae sawa. Mke wa kufanana naye katika makubaliano. Kama wote Ni Wasanii mtaishi na kuelewana na kuendana kitabia maana mko field moja. Mimi Sina mtoto hata mmoja(biological child), hivyo siwezi kuoa mwanamke aliyekwisha zalishwa. Nataka Binti atakayenilea nami nimlee. Watoto wa Barack Obama wamenipuuza baada ya kushushwa chini lakini watanipigia magoti kipindi Mimi siko tayari.

Nawashukuru Mr. Eugene na Mkewe Keysha kwa kunizalia mke Binti yao Geneva.
View attachment 1975414
Mtoto wa Obama umeachana nae tena.
 
Back
Top Bottom