Sitasaau safali ya Serengeti kuwona wanyama.

Sitasaau safali ya Serengeti kuwona wanyama.

Wadudu wakiwa wengi akiwa mmoja ni "ndonga" au "Dudu."
Wakiwa wengi huitwa "wadudu", akiwa mmoja huitwa "mdudu".

Dudu ni kimelea kinachopendelea kuishi mazingira ya jotojoto mwenye uwezo wa kutapika hata mara kumi kwa siku.
Pia kiumbe huyu ana tabia ya
 
Nimecheka mbavu sina,
Hapa kuna mambo mawili
Kwanza,jamaa anaweza kuwa ni wale watu walioishia darasa la pili au la tatu (kwa huku jijini Mwanza wapo wengi sana) so,wanakuwa na uandishi huo
Pili,naona jamaa anafanya comed na huyu atakuwa intertainer mzur sana hapa Jf baada ya GuDume,General galadudu na Slim 5
Aisee
 
Wakiwa wengi huitwa "wadudu", akiwa mmoja huitwa "mdudu".

Dudu ni kimelea kinachopendelea kuishi mazingira ya jotojoto mwenye uwezo wa kutapika hata mara kumi kwa siku.
Pia kiumbe huyu ana tabia ya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani wingi wa DUDU ni nini mkuu?
 
Sijuyi kutumiya sana hu mtandawo najifuza taratibu na hicho urichosema sijui kukifanya?
 
Nimecheka mbavu sina,
Hapa kuna mambo mawili
Kwanza,jamaa anaweza kuwa ni wale watu walioishia darasa la pili au la tatu (kwa huku jijini Mwanza wapo wengi sana) so,wanakuwa na uandishi huo
Pili,naona jamaa anafanya comed na huyu atakuwa intertainer mzur sana hapa Jf baada ya GuDume,General galadudu na Slim 5
Mrithi wa Pdidy.
 
Nimewaomba ladhi kwenye uwandishi wagu siyo lafiki
 
Back
Top Bottom