Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Huyo ni muongo Strong room naifahamu ya mgodi Fulani aisee hata uje na uganga huibi bar yoyote ya dhahabu, hata licha ya uwepo wa ulinzi wa watu na camera wazungu nao uchawi wanaujua sana.Anasema huhitaji funguo kwenda.
Unapita kama upepo tu.
Kuna jamaa aliwawezesha wakaenda....wamefika kule wakamkuta mzungu anakata mzigo ....wakaanza kumchezea kwanza.....hakushtuka wakachukua mali wakasepa..ile wanatoka getini muda wao ulikuwa umeisha wamepoteza muda kule ndani..,.wakaonekana
...unaweza kusikia sauti inakuita....uligeuka tu imekula kwako
Ila kwa mimi simwamini
Mkui huyi alianza kufanya biashara kabla ya jamaa hajaleta huo uzi...
Ndo maana mwisho nikasema sikumwamini sana huyuHuyo mu
Huyo ni muongo Strong room naifahamu ya mgodi Fulani aisee hata uje na uganga huibi bar yoyote ya dhahabu, hata licha ya uwepo wa ulinzi wa watu na camera wazungu nao uchawi wanaujua sana.
Nilijifunza kwa macho sikuwahi kufanya practical tofauti na zile za kuosha.MC44 Nna swali hii experience uliipata miaka iliopita, wakati sharia ya madini hivi karibuni kurekebishwa ilikua bado haijapitishwa, vipi unafikiri hii sharia mpya ya leo inalipa kama ilivyokua ya mwanzoni na vipi changamoto zimepungua au zipo Zaidi ya mwanzo?.
Duara za pembeni zilizalisha na mkanda ukaonekana unakuja upande huoMkuu pole sana kwa yaliyokusibu,ila naomba nikurekebishe kidogo...wewe hukuwa kwenye uchimbaji wa dhahabu,bali ulikuwa kwenye utafiti yaan exploration....hapo ulikuwa unafanya hatua za awali za utafiti wa dhahabu...uchimbaji wa dhahab ni pale unapochimba karibu na duara la mwenzako kwenye uelekeo sahihi wa mwamba,au pale unapochimba sehemu iliyofanyiwa utafiti wa kijiolojia tayari...niwatie moyo wale wanaofanya hii biashara kufuata njia sahihi za uchimbaji,ukizingatia maswala ya upimaji sample,risk management yaan kama sehem kuna maji basi acha kama unayamudu frsh,kama huwezi basi unaacha,mtaji nao ni muhimu kuwa nao mkubwa kiasi,ila kikubwa kuliko chote fanya hii biashara kwa kubana gharama vile unavyoweza,npo kwa ushauri wa bure
Ila kipindi anauza vitu vyake alionekana falaDah kwa changamoto hiyo ya mtaji mdogo kufilisika ni lazima.
Kuna jamaa yangu tulisoma naye alikuwa mfanyakazi wa Tanzanite one Mererani baadae akaacha kazi baada ya kaburu kusepa.
Jamaa akaingia porini kuchimba dhahabu kamata site akaajiri mtaalamu wa miamba, mtaalamu wa mazingira, wachimbaji, akatengeneza muundo mbinu safi. Akaanza kazi
Nguvu aliyowekeza na dhahabu aliyokuwa anapata haviendani, akakomaa akaongeza mtaji milioni 90 ikakata, akatoroka mgodini akarudi home akauza gari yake Toyota landcruiser, akauza gari ya mke wake, viwanja viwili viko sehemu nzuri sana, akaingia benk akavuta mkopo akarudi mgodini.
Piga kazi kwa kwenda mbele aisee jamaa alivuna dhahabu ya kutosha. Akalipa madeni yote ikiwemo la mzungu flani walikuwa partneship mzungu mwanzoni aliweka milioni 200 ikapotea.
Jamaa kwa sasa yuko vizuri sana dhahabu imemuongezea utajiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana.Aisee mkuu umenikumbusha 2017, milipoona kilimo hakiendi sawa wafanyakaz wangu walikuja kunishawishi tukachimbe Ruby, nikasema Aluta Continua mtafutaji hachoki tukaenda mpaka kwenye hilo pori mzigo ulipo. Aisee vile vimawe vya damu ya mzee sijui pinki vimetamalaki balaaa.
Mzee nikasema sasa utajiri umefika tukapanga mikakati nikanunua mashoka na makorokoro kibao na msosi mahindi kama debe 6 hivi na maharage.
Kesho yake kazi ikaanza cha ajabu jioni ndo kwanza shughuli imeanza leo dogo mmojawapo kanifuata eti kuna mzee kamwambia aende akachukue mali ya mjerumani. Alarm ikakiliki nikasema mimi hiyo hela sina
Tulikua na mwanangu mmoja na yeye aka join team akasema kabla hatujaendelea mbali tutume sampla tulizonazo Mererani ili watwambie kuna tumaini kiasi gan?
Ebwana kutuma wakasema hiyo siyo ruby ni Rodlite. Nikamwambia mshkaj wangu pesa tulizomwaga shambani zinatosha mimi narudi zangu town yeye akasema haitatokea mimi kuonywa kwa E-mail mimi chalinze nikanyoosha kuja town yeye akakata kushoto mpaka leo yuko Merelani huwa namuungia 20k akikaukiwa mimi ngoja nipambane kwa mkaburu kwanza.
Unanikumbusha mbali Sana nilipo mpiga mtu na ponchi ya kichwa pumbavu zake kwa kujifanya mjanja Niko ndani ya duara tuko wawili tu alafu dhahabu anayo Mungu anisamehe Sana haikuwa kusudio langu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaokota jiwe la njiani tuu...lkn mganga anakwambia kuna dhahabu nyingi sana....piga kazi utafanikiwa....chukua hii dawa kamwage duarani.....
Kumbe uongo mtupu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ndo kosa lake huyo""Wenzako huwa wanalala hapohapo,,
Yaani sie tupigwe na baridi, wewe uje uchukue kirahisi tu,,
Tukifikia mali tunatoa kimya kimya na wewe hutojua,, [emoji23][emoji23],,
Tunampelekea Kotaz tunachukua chetu,,,,
We ukija tunakwambia bado bado, hadi uje ustuke sio leo""
Hayo ni maneno ya nyoka[emoji115] wa pale nyarugusu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kakaNilikuwa nalala kwenye fello(udongo)
Najifunika ngumi
Sometimes nashuka chini
Hahahaaa kiukweli kazi ya machimbo yahitaji msuli na uvumilivu sana
Kuna washkaji walipata gema moja linatoa kinyama pande za chunya maeneo ya swiswi
Wakaingiwa tamaa wakashauriana watanue liwe kubwa halafu washushe kimo kirefu kwenda chini ili kuzinyaka
Walitumia gharama nyingi sana kwa kudhani kua watazifidia endapo wakifika chini walikopanga kufikia
Lakini walipofika chini walikuta uwazi mkubwa, ambao unaonesha kua kuna fonka ilipigwa chini kwa chini na wazee wazamani
Walichoka maana hakukuwa na tumaini tena ikabidi wasande warudi home kupiga mishe zingine ili walipe madeni ya watu
It's Scars
Kuna jamaa ni mwal...pia anahusika na mikopo aliingiza mil 90 ikazama