Sitasahau biashara ya uchimbaji ilivyonifilisi

Mmmh[emoji5][emoji5][emoji5],
Inatia moyo kidogo but inaogopesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana. Kisa chako kimenigusa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya uchimbaji ni tatizo mkuu, hapo kafara bado hujaweka

wanafanikiwa ni 2/10 tena sio kwa njia ya kunyooka trust me
 

Mkuumimi mzee wangu kabisa ilimuingiza kwenye matatizo hiyo biashara...baada tu ya kupokea kinua mgongo chake basi hao marafiki walipotekea kila mtu anamwambia kuhusu madini mpaka hela ilipoishia hatukuona cvha madini wala nini.
 
Mkuumimi mzee wangu kabisa ilimuingiza kwenye matatizo hiyo biashara...baada tu ya kupokea kinua mgongo chake basi hao marafiki walipotekea kila mtu anamwambia kuhusu madini mpaka hela ilipoishia hatukuona cvha madini wala nini.

Wala marafiki


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…