Sitasahau biashara ya uchimbaji ilivyonifilisi

Sitasahau biashara ya uchimbaji ilivyonifilisi

Nakumbuka siku moja nilitoka na kutafuta mganga mmoja hivi.....
Nilikuwa naenda kwa mganga mwingine...nikapotea njia nikafika kwake
jamaa akaniuliza kama nimekuja kwake kwa hiari au nimekosea....nikamwambia we fanya kazi.
nikaweka jiwe chini jamaa akasema " hapo hakuna kitu...hata kama utapata utapata kidogo sana hakita rudisha cost.

nikasema basi......nikakung'uta miguu nyuma kama nzi.


kuna mganga mwingine huyu aliniambia ana dawa ya kusogeza mwamba....analeta juu

mwingine akasema ana uwezo kwa kunipa dawa niende GGM kwenye stoo ya dhahabu nichukue pure gold. Yaan vile vitofali kisha nirudi.
kasharti yake nisigeuke tuu nyuma.

Anasema ashasaidia wengi na hapo ana miradi mingi ....nikamwangalia.....hafanani na asemayo nikaona hapa chawa.

Simu kafunga na rababendi...
anaomba salio
Suruali hazieleweki...
mkanda ni uzi......
begi la kazi ni shida.....

nyumbani kwake ni shida tuu.....

hawa jamaa ni shida sana
 
Unabaki kushangaa..kwel watu tumetofautiana sana
Biashara ya karasha....ipo hivi.... Mtaji angalau mil 10
Then uwe na duara ya kuleta mzigo.
Maana kila mtu anapeleka duarani kwake.
Na hapo wanalenga tuu kifusi ili kuwapata wale wa mmoja mmoja....mteja akileta mawe...lipia usafiri.....na umsagie bure.
Jiandae ela ya dieseli.
Ni kazi sana kwenye hii sekta
 
Biashara ya karasha....ipo hivi.... Mtaji angalau mil 10
Then uwe na duara ya kuleta mzigo.
Maana kila mtu anapeleka duarani kwake.
Na hapo wanalenga tuu kifusi ili kuwapata wale wa mmoja mmoja....mteja akileta mawe...lipia usafiri.....na umsagie bure.
Jiandae ela ya dieseli.
Ni kazi sana kwenye hii sekta
Mkuu sijaelewa hapo unaposema mteja akileta mawe umsagie bure na uandae usafiri Ina maana hiyo biashara faida yake nini Sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara ya karasha....ipo hivi.... Mtaji angalau mil 10
Then uwe na duara ya kuleta mzigo.
Maana kila mtu anapeleka duarani kwake.
Na hapo wanalenga tuu kifusi ili kuwapata wale wa mmoja mmoja....mteja akileta mawe...lipia usafiri.....na umsagie bure.
Jiandae ela ya dieseli.
Ni kazi sana kwenye hii sekta

Bas mie naona ni easy!hapana hatusagi bure ni 2000!
 
Shemeji yangu amekuja kunishawishi hapa ameniambia niingie kwenye hii biashara inalipa kumbe anataka kunitupa shimoni.
 
Back
Top Bottom