Sitasahau nilivyonusurika kuuliwa kinyama na baba yangu mzazi

Alitaka kukutoa kafara sjui atajirike[emoji30][emoji134][emoji1745]
Mkubwa wakati huo alikuwa tajiri tayari sijui alitaka atajirike mara ngapi huyu mzee wangu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani nilivo na roho ya peke yangu, Namimi ningeandaa mpango wa kumuua ili nirithi magari, yaani sumu ya panya ya 300 tu , ningemwondoa duniani.

If you kill somebody you are safe, If somebody kills you, there are two things involved.
 
Dah mkuu hapo mlipokuwa mnaishi hakukuwa na majirani nini,maana hawakusikia hata mlio wa risasi hata wakaja kushuhudia,maana hata aliyekuwa anaenda chooni hakusijia mlio wa marisasi yakikosa mtu.
 
Hakuwa babu yake Zitto?
 
hii ni chai bila andazi,kafyatua risasi ukalala chini ghafla sasa alishindwa nini kukumalizia ulipolala chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…