Sitasahau siku ambayo Nape Nnauye alipotembea kwa miguu Ikulu kwenda kuomba msamaha

Sitasahau siku ambayo Nape Nnauye alipotembea kwa miguu Ikulu kwenda kuomba msamaha

Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.


Ndio kinachomuuma sasa
 
Duh! binadamu bwana, yani tunapenda kutukuzwa kumbe tumebakiza muda mfupi hapa duniani....sasa magufuli angejua kuwa amebakiza miezi kadhaa afe angekubali kumhenyesha Nape kwa miguu kuanzia kule getini hadi mjengoni?

Kulikuwa na sababu gani ya kuvujisha hiyo video ya NAPE? najua recording ni lazima eneo hilo lakini je kulikuwa na ulazima wa kuvujisha hiyo video?
 
Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.


Ni mnafiki kama johnthebaptist
 
Duh! binadamu bwana, yani tunapenda kutukuzwa kumbe tumebakiza muda mfupi hapa duniani....sasa magufuli angejua kuwa amebakiza miezi kadhaa afe angekubali kumhenyesha Nape kwa miguu kuanzia kule getini hadi mjengoni?

Kulikuwa na sababu gani ya kuvujisha hiyo video ya NAPE? najua recording ni lazima eneo hilo lakini je kulikuwa na ulazima wa kuvujisha hiyo video?
Bora walifanya hivyo maana Nape ni mnafiki angekataa kuwa hajawahi kuomba msamaha
 
Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.


Hivi nape alitembezwa km ngapi mule Ikulu
 
Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.


Mkuu ulitaka mpaka atumiwe watu wasiojulikana?
Kilichomtokea mlokole Kapilimba kwani wewe hujui?
 
Back
Top Bottom