Sitasahau siku ambayo Nape Nnauye alipotembea kwa miguu Ikulu kwenda kuomba msamaha

Sitasahau siku ambayo Nape Nnauye alipotembea kwa miguu Ikulu kwenda kuomba msamaha

Huyu jamaa siku hiyo alidhalilika kweli kweli na jamaa wa ikulu kwa makusudi wakaamua kummulika na makamera yao tangu anaingia getini mwanaume mzima inaelekea siku hiyo hadi p.yumb.u zake zililoa jasho!!
 
Huyu jamaa siku hiyo alidhalilika kweli kweli na jamaa wa ikulu wakaamua kummulika na makamera yao tangu anaingia getini mwanaume mzima inaelekea siku hiyo hadi p.yumb.u zake zililoa jasho!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.


wewe ungeitwa na Rais kisha aseme uende kwa kusota toka main gate ungemgomea ? Hebu mwacheni Nape atimize majukumu yake - kuhoji deni la taifa imekuwa nongwa ?
 
wewe ungeitwa na Rais kisha aseme uende kwa kusota toka main gate ungemgomea ? Hebu mwacheni Nape atimize majukumu yake - kuhoji deni la taifa imekuwa nongwa ?
Mbona Membe aligoma
 
njaaa mbaya sana kaka......ccm wengi wapo kwa ajili ya matumbo yao
 
Mijitu minafiki mimi huwa siikubali ata siku moja. Shenzi zake huyo nape. Linafiki kweli kweli.
Ulitaka afanye nini? alikuwa hana pa kutokea, nchi zetu zilizojaa udikteta wa kifala na uhuru fake wanaweza kukufanya chochote hata kukuua
 
Ile ya kumwita Nape akaombe msamaha ilipangwa maana mzee baba alikua na safari jimbo la Nape kule mtama ambako pamoja na kumsamehe Nape kwenye macho ya watu wazee walimpelekea moshi mpaka akaacha kuhutubia pale alieomba msamaha sio Nape...
 
Ile ya kumwita Nape akaombe msamaha ilipangwa maana mzee baba alikua na safari jimbo la Nape kule mtama ambako pamoja na kumsamehe Nape kwenye macho ya watu wazee walimpelekea moshi mpaka akaacha kuhutubia pale alieomba msamaha sio Nape...
Ehee
 
Amakweli dunia panuka tuone mengi...😕🙃
 
Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.


Kubwa kuliko nipale alipotishiwa na pyupyu!
 
Back
Top Bottom