Sitasahau siku ambayo Nape Nnauye alipotembea kwa miguu Ikulu kwenda kuomba msamaha

Ndio kinachomuuma sasa
 
Duh! binadamu bwana, yani tunapenda kutukuzwa kumbe tumebakiza muda mfupi hapa duniani....sasa magufuli angejua kuwa amebakiza miezi kadhaa afe angekubali kumhenyesha Nape kwa miguu kuanzia kule getini hadi mjengoni?

Kulikuwa na sababu gani ya kuvujisha hiyo video ya NAPE? najua recording ni lazima eneo hilo lakini je kulikuwa na ulazima wa kuvujisha hiyo video?
 
Ni mnafiki kama johnthebaptist
 
Bora walifanya hivyo maana Nape ni mnafiki angekataa kuwa hajawahi kuomba msamaha
 
Hivi nape alitembezwa km ngapi mule Ikulu
 
Mkuu ulitaka mpaka atumiwe watu wasiojulikana?
Kilichomtokea mlokole Kapilimba kwani wewe hujui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…