Lile jamaa lilikuwa liuwaji lazima Nape awe vile.
HahahahahahahahaahahahaHuyu jamaa siku hiyo alidhalilika kweli kweli na jamaa wa ikulu kwa makusudi wakaamua kummulika na makamera yao tangu anaingia getini mwanaume mzima inaelekea siku hiyo hadi p.yumb.u zake zililoa jasho!!
Kweli kabisaHana tofauti na waliokuwa wanasifu kipindi kile sasa hivi wanaponda au waliosema sisi ni kitu kimoja alafu baadae wanasema walikuwa hawana furaha kufanya kazi...
In Short Politics ni full unafiki na ni watu kama hawa wanaoipa Politics a bad name
Punguza upoyoyo kwa kuacha mataputapu unayokunywa!Nape ana unafiki wa kichadema chadema kama Lema!
Bibi zako waliokufa kumbe ni wajinga eeeIle ilikuwa kama sinema. Mjinga amekufa na shujaa Nape amebaki. Watoto wa mjini wanasema "starring hafi"
Aliogopa kutwangwa risasiIlikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.
Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.
waliomtuma kufanya vile ndio hao anaowatumikia leo..
Kweli kabisaHata magu alisema waliomtuma wengine wapo kwenye chama.
[emoji1][emoji1][emoji1]Mwenzako analia kivulini, wewe unasota na buku saba hadi LUMUMBA wakuonee huruma
Uoga tuKuna Siri kubwa kwenye ujasusi, huenda alifanya vile ili kumuaminisha magu kuwa yeye ndo kila kitu.
Ila nyuma ya pazia wakiendelea kupanga yao, nadhani Siri anayo yeye na kundi lake
Jamani haya mambo hayaishi tu? Tuangalie mbele.Huyu jamaa siku hiyo alidhalilika kweli kweli na jamaa wa ikulu kwa makusudi wakaamua kummulika na makamera yao tangu anaingia getini mwanaume mzima inaelekea siku hiyo hadi p.yumb.u zake zililoa jasho!!
Hayawezi kuishaJamani haya mambo hayaishi tu? Tuangalie mbele.
Mchawi corona tuKuna Siri kubwa kwenye ujasusi, huenda alifanya vile ili kumuaminisha magu kuwa yeye ndo kila kitu.
Ila nyuma ya pazia wakiendelea kupanga yao, nadhani Siri anayo yeye na kundi lake
Huu Uzi udumu [emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]