Lile jamaa lilikuwa liuwaji lazima Nape awe vile.
..Na Gerson Msigwa alikuwa na mambo fulani ya kitoto sana.
..Yaani ka-set kabisa Camera kumrekodi Nape na kutengeneza senema ya Magufuli kuombwa msamaha.
..Sidhani kama wakurugenzi wa habari wa ikulu wa nchi zinazojielewa wangefanya utoto kama aliofanya Gerson Msigwa.