Sitasahau siku pombe zilitaka kunitoa roho

Sitasahau siku pombe zilitaka kunitoa roho

Ujana ni raha sana kama unajielewa
Mimi wakati niko miaka 22 nimepata kazi Bulyahulu nalipwa dola 500 kwa mwezi, hii ilikuwa 1997 na jeuri ya hela, nilishapigana na wamasai wanne walinzi wa disco huko kanda ya usukumani baada ya kulewa na vitoti vya konyangi kama 30 kavukavu na kung.angania kuingia disco bure, nilikula fimbo za kutosha lakini niliwavua yale mashuka wote kmamaee....
Mpaka mwenye baa alikuja kunituliza na nikakataa na kuingia nikaenda kuugulia maumivu gesti niliyofikia .
 
Ni kuipiga kias for leasure & pleasure sio kushindana na mitungi
Siku nikitulia ntaleta story ya kuingia usalama wa taifa pale badala ya njia ya kwenda njia ya hospital ya kariuki, majamaa walinihoji kama lisaa lizima wakachukua vitambulisho vyangu wakatoa copy wakaniacha, uzuri tulikua wawili na wote tulikua na vitambulisho vya chuo, haikupita hata wiki nikataka ku bypass barrier zile njia za ikulu wanazofunga, nikadakwa tena, aisee we acha tu hizi pombe sio poa kabisa
 
Ujana ni raha sana kama unajielewa
Mimi wakati niko miaka 22 nimepata kazi Bulyahulu nalipwa dola 500 kwa mwezi, hii ilikuwa 1997 na jeuri ya hela, nilishapigana na wamasai wanne walinzi wa disco huko kanda ya usukumani baada ya kulewa na vitoti vya konyangi kama 30 kavukavu na kung.angania kuingia disco bure, nilikula fimbo za kutosha lakini niliwavua yale mashuka wote kmamaee....
Mpaka mwenye baa alikuja kunituliza na nikakataa na kuingia nikaenda kuugulia maumivu gesti niliyofikia .
Bulyhahulu nimetoka tu juzi hapo, aisee mi sijutii kitu kabisa maana nimefanya hustling za kila aina aisee
 
Ujana ni raha sana kama unajielewa
Mimi wakati niko miaka 22 nimepata kazi Bulyahulu nalipwa dola 500 kwa mwezi, hii ilikuwa 1997 na jeuri ya hela, nilishapigana na wamasai wanne walinzi wa disco huko kanda ya usukumani baada ya kulewa na vitoti vya konyangi kama 30 kavukavu na kung.angania kuingia disco bure, nilikula fimbo za kutosha lakini niliwavua yale mashuka wote kmamaee....
Mpaka mwenye baa alikuja kunituliza na nikakataa na kuingia nikaenda kuugulia maumivu gesti niliyofikia .
matajiri wa zamani mlikuwa na fujo sana šŸ˜‚
 
Siku nikitulia ntaleta story ya kuingia usalama wa taifa pale badala ya njia ya makumbusho, majamaa walinihoji kama lisaa lizima wakachukua vitambulisho vyangu wakatoa copy wakaniacha, uzuri tulikua wawili na wote tulikua na vitambulisho vya chuo, haikupita hata wiki nikataka ku bypass barrier zile njia za ikulu wanazofunga, nikadakwa tena, aisee we acha tu hizi pombe sio poa kabisa
tupe hii story
 
tupe hii story
Ningepotezwa kifala sana, aisee usalama wako makini tofauti na tunavyodhani, walinihoji kwa kina sana wale jamaa, mara ya pili wale wa ikulu uzuri walikua nadhani ni police force tu wakanichomoa hela ya bia wakaniambia nisepe
 
Bulyhahulu nimetoka tu juzi hapo, aisee mi sijutii kitu kabisa maana nimefanya hustling za kila aina aisee
Fikiria nilikuwa pale kakola 1997-1999 nafanya kazi kwenye kampuni moja ya canada inaiitwa Tanzoro, ilikuwa inalipa hela nzuri kinoma , kuna wale Drillers wazee waliofanya kazi enzi za STAMICO walkuwa wanakamata mpaka dola 1200 kwa mwezi
Huko ndio nilikutana na RIP Gardner Habash aliotea kazi ya uhasibu
 
Ningepotezwa kifala sana, aisee usalama wako makini tofauti na tunavyodhani, walinihoji kwa kina sana wale jamaa, mara ya pili wale wa ikulu uzuri walikua nadhani ni police force tu wakanichomoa hela ya bia wakaniambia nisepe
usalama wangekumaliza aisee
 
Siku nikitulia ntaleta story ya kuingia usalama wa taifa pale badala ya njia ya kwenda njia ya hospital ya kariuki, majamaa walinihoji kama lisaa lizima wakachukua vitambulisho vyangu wakatoa copy wakaniacha, uzuri tulikua wawili na wote tulikua na vitambulisho vya chuo, haikupita hata wiki nikataka ku bypass barrier zile njia za ikulu wanazofunga, nikadakwa tena, aisee we acha tu hizi pombe sio poa kabisa
Sawa mkuu ukipata muda usiache kutusimulia ili tujifunze..
 
Fikiria nilikuwa pale kakola 1997-1999 nafanya kazi kwenye kampuni moja ya canada inaiitwa Tanzoro, ilikuwa inalipa hela nzuri kinoma , kuna wale Drillers wazee waliofanya kazi enzi za STAMICO walkuwa wanakamata mpaka dola 1200 kwa mwezi
Huko ndio nilikutana na RIP Gardner Habash aliotea kazi ya uhasibu
Kitambo sana na hio pesa ilikua nyingi sana, drillers ni kazi ya kibabe mtu asichukulie poa aisee, ndo hivyo wazungu bado wanakula miamba tu na hata lami ya kufika kakola wamegoma kutuwekea, ujinga sana. Kwa wazawa
 
Fikiria nilikuwa pale kakola 1997-1999 nafanya kazi kwenye kampuni moja ya canada inaiitwa Tanzoro, ilikuwa inalipa hela nzuri kinoma , kuna wale Drillers wazee waliofanya kazi enzi za STAMICO walkuwa wanakamata mpaka dola 1200 kwa mwezi
Huko ndio nilikutana na RIP Gardner Habash aliotea kazi ya uhasibu
huki tulia hii ni bonge ya thread inabid utupe ni insparition kam miaka ya tisini ulikuwa unakunja M wew ulikuwa don bhn
 
Toka siku niliyozima mpaka nikampa wife kazi ya kunibeba kunipeleka chumbani,nilijihisi aibu sana na sijatamani tena kulewa kiasi hicho..siku hizi ni bia zangu mbili tu huyo home kulala.
 
Back
Top Bottom