Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

Msiwalaumu hao ni kwakuwa k wamezijulia ukubwani na unakuta ana kidemu hicho hicho kimoja anasuuza rungu...lkn mtu kama ana mademu kibao hawezi endeshwa na mwanamke!
 
N0w yup0 tegeta kule kuleanahama vyumba tu...ila urafiki unaendelea ila hauna nguvu...maisha yanaendelea...
Natamani kujua baada ya hilo tukio maisha yenu yaliendeleaje? Mlianza vipi kupiga stori tena?
 
[emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958][emoji2958]
 
Marafiki sio watu kabsa bora nimwamini mpenzi ambae najua cku moja atanisaliti kuliko hawa mafisi et rafik
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi rafiki yangu aliwahi kunifadhili nikalala kwake ila sikupenda alivyo mla dem wake mbele yangu tena hawakujifunika hata shuka ***** zao[emoji3062][emoji3062]
Duh watu mna mapito,mi kuliko kushuhudia huo ushenz,bora nkalale kanisan au polis
 
Nilishawahi kumtoa geto usik rafk yang anipishe shemej yake anakuja.. masikin ya mungu kesho yake anakuja kunambia alikabwa na vibak usku ule wakamuibia Na sim.. dah niliumia ila sina jinsi
Siku nyingine kama unaishi na mwana geto inabidi muwe mnakutana na demu wako mchana ama kama anakuja kulala Basi umuandae mapema mwanao acheki namna .
 
Pole sana Mkuu Mdigokhan kwa "unyambisi" alokufanyia huyo jamaa yako naamini kwasasa mambo ni tofauti kabisa na pengine rafikio huyo anajuta...
 
Back
Top Bottom