Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

Kwanza Akili yangu ikinituma nifanye jambo naloona sahihi mpenzi wangu haweZi nikataza labda mke tena sio kila kitu..yaani mpenzi wangu ndo aniambie Masharti eti sitaki ulaze marafiki zako kwenye nyumba yangu!!!!anajua wananisaidia nini kwenye Maisha????

Pili jamaa ajakomaa kiakili haweZi kuishi na mwanamke

Tatu, huna rafiki labda huyo ni rafiki Yako ila wewe sio rafiki yake..

Nne,nasikitika sana kuona wanaume tunapoteza code za kiume...

Mwanamke hataki mtu asiye na maamuzi kwani ungesubiri nje then urudi kwenye kochi kulala au angekupa hela ya lodge .

Sioni sababu ya kukubali kuishi na mtu then umuone mzigo..

Na hizi tabia za kuthamini mademu kuliko masela zimewacost wengi sana..demu sio mke..
HII IMEENDA KAKA...⛹️‍♀️
 
Mimi sio rafiki yangu n kaka angu. Tulienda kuangalia mpira mbali na home night. Kipindi hicho tupo secondary; Mimi kidato cha pili na bro Cha nne.

Bro kaniambia anaenda nje kuongea na simu demu wake kampigia. Mimi nikaendelea kucheki mpira nikijua bro yupo nje.
Mpira umeisha mishale ya 6 ucku. Kutoka nje simuoni bro. Kumpigia simu aliniambia yupo home karudi

Daah nikakomaa mwenyewe kurudi home. Ingawa mazingira sio. Kufika home nikamuuliza vp mbona umeniacha. Akasema "Demu wangu aliponiuliza nipo wapi, nikamjibu. Akaniambia nirudi home hataki nicheki mpira."

Nilimcheki bro kwa hasira sana, angekuwa mdogo angu ningemtembezea kichapo. Nikamuuliza kwann hakuniambia kama anarudi home?
Yaani unaniacha mdogo ako kwasababu ya demu?

Toka tukio lile nilimuona bro bwege tu.
😂😂 kaka kazingua...
 
Kuna jamaa bwana tumwite G, aliomba hifadhi kwa msikaji wake A na A ananyumba nzima, kuna siku wakaenda kuangalia mpira ila kila mtu akaenda sehemu yake anayojua yeye ila ile G karud nyumbani kakuta godoro lake na nguo zake zipo nje alafu mlango umefungwa yan yule A alivitoa vitu nje barazan akimtaka jamaa asepejl, jamaa kupiga simu ikawa haipokelewi basi bwana G akaamua kutandika Godoro pale barazani, akauchapa usingizi pale sababu ilikuwa saa saba usiku, kabla hajasinzia vizuri mvua kubwa ikaanza godoro linaloa yeye analoa, ikabid aamke alale amesimama, mida ya saa nane na nusu A anarud nyumbani alafu yupo na mwanamke, kampita jamaa nje kama hamjui kachoma ndani kafunga mlango kalala, wakati wapo ndani mwanamke anamuuliza jamaa "baby yule nje nan? Jamaa likajibu achana nae mlinzi yule".... Kuna masela wana roho ngumu sana
 
Kuna jamaa bwana tumwite G, aliomba hifadhi kwa msikaji wake A na A ananyumba nzima, kuna siku wakaenda kuangalia mpira ila kila mtu akaenda sehemu yake anayojua yeye ila ile G karud nyumbani kakuta godoro lake na nguo zake zipo nje alafu mlango umefungwa yan yule A alivitoa vitu nje barazan akimtaka jamaa asepejl, jamaa kupiga simu ikawa haipokelewi basi bwana G akaamua kutandika Godoro pale barazani, akauchapa usingizi pale sababu ilikuwa saa saba usiku, kabla hajasinzia vizuri mvua kubwa ikaanza godoro linaloa yeye analoa, ikabid aamke alale amesimama, mida ya saa nane na nusu A anarud nyumbani alafu yupo na mwanamke, kampita jamaa nje kama hamjui kachoma ndani kafunga mlango kalala, wakati wapo ndani mwanamke anamuuliza jamaa "baby yule nje nan? Jamaa likajibu achana nae mlinzi yule".... Kuna masela wana roho ngumu sana
Na kesho unasema huyu ni rafiki wa kufa na kuzikana?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Huo ndo uanamume kukutana na mambo ya moto kama hivi, wala haipaswi kusimuliwa ni ujionee mwenyewe[emoji119]
Mie Nisha wahi kulala nimekaa kwenye stuli kwa kula hakuna,,uliendaa baa unaomba wasifunge mapemaa achen mchezo na maisha.
 
Mimi mshikaj anayemsikiliza demu wake namuona bwege tu.
Kuna jamaa bwana tumwite G, aliomba hifadhi kwa msikaji wake A na A ananyumba nzima, kuna siku wakaenda kuangalia mpira ila kila mtu akaenda sehemu yake anayojua yeye ila ile G karud nyumbani kakuta godoro lake na nguo zake zipo nje alafu mlango umefungwa yan yule A alivitoa vitu nje barazan akimtaka jamaa asepejl, jamaa kupiga simu ikawa haipokelewi basi bwana G akaamua kutandika Godoro pale barazani, akauchapa usingizi pale sababu ilikuwa saa saba usiku, kabla hajasinzia vizuri mvua kubwa ikaanza godoro linaloa yeye analoa, ikabid aamke alale amesimama, mida ya saa nane na nusu A anarud nyumbani alafu yupo na mwanamke, kampita jamaa nje kama hamjui kachoma ndani kafunga mlango kalala, wakati wapo ndani mwanamke anamuuliza jamaa "baby yule nje nan? Jamaa likajibu achana nae mlinzi yule".... Kuna masela wana roho ngumu sana
 
Back
Top Bottom