M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Hao ndo Wana tamaa ya pesa balaa. 2015 Mzee wa Monduli alipataje nafasi ya kugombea Urais?Unamjua Lissu unamsikia? Nenda na hizo hela kama hajakulipua kesho maana hanaga mchezo na mafisadi. Huyu alipaswa apewe TAKUKURU walau kwa mwaka mmoja tu nadhani 70% ya majizi yangekua mahakamani!!
Pesa haiangalii historiahumjui ,kamuulize lupaso miaka ya 2000 juu ya nyamongo nahuko ndo walijuana nambowe kupitia kufungwa kwa chacha wangwe akiwa diwani
Kawaulize Tena acaciaPesa haiangalii historia
Huyu huyu anayetembezà bakuli huko CCM wamchangie hela ya kununua gari? Au kuna LISSU tofauti na huyo.Unamjua Lissu unamsikia? Nenda na hizo hela kama hajakulipua kesho maana hanaga mchezo na mafisadi. Huyu alipaswa apewe TAKUKURU walau kwa mwaka mmoja tu nadhani 70% ya majizi yangekua mahakamani!!
Harakati uchwara zipi? Lisu huwa hataki Rushwa yeyea anapenda haki na hata wakitaka kumuomba chochote waende kuongea nae kawaida bila kumtangazia pesa mbele atawasikiliza vizuri1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Kuomba michango ni kielelezo kuwa hataki Rushwa bora achangiwe kidogo na watanzania walioguswa na uchoyo wa mbowe kuzuia pesa zote za chama hadi viongozi wenzake kutaabika kuomba misaadaHuyu huyu anayetembezà bakuli huko CCM wamchangie hela ya kununua gari? Au kuna LISSU tofauti na huyo.
vipi maisha Belgium huko shem?Lisu huwa hataki pesa za Rushwa, anajua pesa haramu ya Rushwa ni Sumu kubwa ya kumdhoofisha kisiasa
Humjui Tundu Lissu, Mkapa Benjamin angekuwa hai angekupa historia yake.1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Very low reasoning and researching mindHuyu huyu anayetembezà bakuli huko CCM wamchangie hela ya kununua gari? Au kuna LISSU tofauti na huyo.
Ngoja wakifanyie biashara chama utaona watakachovuna1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Kabisa1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Over his dead body!1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Wewe unajua nini, huyo hata kunyapia maslahi yake kelele zote hizo ni hali ngumu kule ukimbizini.Unamjua Lissu unamsikia? Nenda na hizo hela kama hajakulipua kesho maana hanaga mchezo na mafisadi. Huyu alipaswa apewe TAKUKURU walau kwa mwaka mmoja tu nadhani 70% ya majizi yangekua mahakamani!!
hayupo wa kumpooza mtu mwenye mdomo kama huyo kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi,1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.