Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Chadema watakula tu na hawatamchagua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna lolote..!Kawaulize Tena acacia
Huna point man, by then mwenyekiti wa chama alikuwa nani?Hao ndo Wana tamaa ya pesa balaa. 2015 Mzee wa Monduli alipataje nafasi ya kugombea Urais?
KabisaUnamjua Lissu unamsikia? Nenda na hizo hela kama hajakulipua kesho maana hanaga mchezo na mafisadi. Huyu alipaswa apewe TAKUKURU walau kwa mwaka mmoja tu nadhani 70% ya majizi yangekua mahakamani!!
Mbona Mbowe kaponzwa na visenti kidogo tu1. Bongo hakuna mkate mgumu mbele ya chai "pesa".
2. Hizi "harakati uchwara" ni njaa tu.
3. Likiwekwa dau mezani kila mtu anawaza TUMBO lake.
Tatizo wadanganyika wanaweka mahaba mbele , kuna kipindi humu ilikuwa huwaambii kitu kuhusu Mbowe...sasa hivi wanatoa milio...kila mwanasiasa ana bei na huwa ni suala la muda tuHao ndo Wana tamaa ya pesa balaa. 2015 Mzee wa Monduli alipataje nafasi ya kugombea Urais?
Lissu alikuwa mwanasheria mkuu wa chama na alihusika kikamilifuHuna point man, by then mwenyekiti wa chama alikuwa nani?
Makama mwenyekit alikuwa nani?
Hao ndio walihusika na mchezo mzima, sio lissu. Na ndio ikaleta shida na mtawanyiko kwenye chama
Mtonyi ulikua hautoshi, na alikua very strategic sana, kitendo cha kuzunguka na gari yenye matundu ya risasi alikua anajijenga kisiasa hakua anakijenga chama chake, huyu anafika bei vizuri tu. #WenyeNchiWananchiMbona za Abdul alizikataa na inasemekana ulikuwa ni mtonyo wa kwenda tu
Lissu alikuwa mwanasheria mkuu wa chama na alihusika kikamilifu
View: https://youtu.be/s93Zy4xNeZ0
View: https://youtu.be/EL5eo9bWOHw
Yeye kama mshauri wa mambo ya kisheria katika chama na jinsi alivyokuwa vocal kipindi hicho hawezi kukwepa kuhusikaGood, but kuna contradiction la kibao kwenye maneno anayo ongea. Kwanza its seems idea ilikuwa ni ya silaa, baadae silaa aka bail out ( i dont know why)
But then at level ya mwanasheria wa chama, ana nguvu gani by then ?
But also hakuna direct proof kwamba alipokea rushwa, the only people kwenye hiyo position was mwenyekiti.
Lissu on his own words, he thought wanampets mtu mwenye watu wengi( kwa chadema ni asset) but if he will repent his sins (ufisadi)
But mwenyekiti had other plans
umethibitisha humfahamu Anza taratibu kumfahamuHakuna lolote..!
Huyu sidhani,hana cha kupoteza kwani tayari kama kupotea alishapotea ila kasalimika.Mtonyi ulikua hautoshi, na alikua very strategic sana, kitendo cha kuzunguka na gari yenye matundu ya risasi alikua anajijenga kisiasa hakua anakijenga chama chake, huyu anafika bei vizuri tu. #WenyeNchiWananchi