sito sahau mganga, Sheik, Manabii na Wachungaji wameshindwa kuniombea na mpaka leo najiita kaka wa shetani

sito sahau mganga, Sheik, Manabii na Wachungaji wameshindwa kuniombea na mpaka leo najiita kaka wa shetani

Ni ukweli kabisa jina la ID yangu sijawai kuona lolote kwangu ni mekwenda kila mmoja ananiogopa maana kama vitengo vyote na mashuuda yako yamekataa.

Kisa cha mganga:
nilikwenda kwa mganga sikupata chochote zaidi ya mimi kupambana mwenyewe mpaka yule mwandulami na wababe kujikinga.

Kisa cha sheik:
nimekutana na masheik mpaka wale wanajua kupambana na majini na mmoja wapo ni waraisi mstaafu yupo hai ni kapa zaidi ya kunikwepa mpaka misikitini.

Kisa cha manabii:
hawa wanajua kutoa mapepo ila hata siku moja wakiniona wanaround about wakioniona mpaka kanisani kwao.

Kisa cha wachungaji:
hawa ni group la mwisho ambao nawaona kama nawajua sana kama masheik tu.

ID yangu naweza kukujua unacho fanya wengi wemethibitisha japo ndio napo tokea huko
Bado hujatulia katika utunzi wa story, mtafute singanojr pengine anaweza kukuvusha ukawa mtunzi nguli.
 
ulipo umechoka nakuona hata ulipo chumba kimoja
Hujielewi maombi unapoenda kuombewa wewe mwenyewe unatakiwa uwe umemuomba Mungu sana ukikosa jibu ndio unashirikisha wengine

Sio unatwika mazigo yako wengine wafunge na kuomba wakati wewe unakula chips kuku ukiamini wengine ndio watatue tatizo lako kwa kuongea na Mungu. MJINGA WEWE

Wewe mwenye shida ndio watakiwa kwenda kwa Mungu sio kusumbua waombaji

Yesu alisema njooni kwangu nyie wote msumbukao na mizigo nitawapunzisha

Hakusema nendeni kwa waombaji nk watawapumzisha

Nenda kwa Yesu atakupumzisha shida zako Acha kudharau wengine kuwa umeenda na shida zako hazijaisha

Yesu aliagiza wenye shida waende kwake sio kwa mtu mjinga wewe.Soma Biblia vizuri uelewe
 
Hujielewi maombi unapoenda kuombewa wewe mwenyewe unatakiwa uwe umemuomba Mungu sana ukikosa jibu ndio unashirikisha wengine

Sio unatwika mazigo yako wengine wafunge na kuomba wakati wewe unakula chips kuku ukiamini wengine ndio watatue tatizo lako kwa kuongea na Mungu. MJINGA WEWE

Wewe mwenye shida ndio watakiwa kwenda kwa Mungu sio kusumbua waombaji

Yesu alisema njooni kwangu nyie wote msumbukao na mizigo nitawapunzisha

Hakusema nendeni kwa waombaji nk watawapumzisha

Nenda kwa Yesu atakupumzisha shida zako Acha kudharau wengine kuwa umeenda na shida zako hazijaisha

Yesu hakuagiza wenye shida waende kwake sio kwa mtu mjinga wewe.Soma Biblia vizuri uelewe
ukikimbilia kutoa povu ujuwe ukweli umekushika alafu kinacho kupombaza we ni mnafiki ushawai kuambiwa
 
Ni ukweli kabisa jina la ID yangu sijawai kuona lolote kwangu ni mekwenda kila mmoja ananiogopa maana kama vitengo vyote na mashuuda yako yamekataa.

Kisa cha mganga:
nilikwenda kwa mganga sikupata chochote zaidi ya mimi kupambana mwenyewe mpaka yule mwandulami na wababe kujikinga.

Kisa cha sheik:
nimekutana na masheik mpaka wale wanajua kupambana na majini na mmoja wapo ni waraisi mstaafu yupo hai ni kapa zaidi ya kunikwepa mpaka misikitini.

Kisa cha manabii:
hawa wanajua kutoa mapepo ila hata siku moja wakiniona wanaround about wakioniona mpaka kanisani kwao.

Kisa cha wachungaji:
hawa ni group la mwisho ambao nawaona kama nawajua sana kama masheik tu.

ID yangu naweza kukujua unacho fanya wengi wemethibitisha japo ndio napo tokea huko
Yesu aliagiza wenye shida waende kwake sio kwa mashehe ,mitume au manabii au yeyote binadamu

Akasema njooni kwa nyie wote wenye mizigo nami nitawapumnzisha hakusema wenye shida waende kwa mashehe,mitume ,wachungaji,manabii nk kupata solutions za shida zao mleta maada uelewe hilo wenye shida waende kwa Yesu
 
Ni ukweli kabisa jina la ID yangu sijawai kuona lolote kwangu ni mekwenda kila mmoja ananiogopa maana kama vitengo vyote na mashuuda yako yamekataa.

Kisa cha mganga:
nilikwenda kwa mganga sikupata chochote zaidi ya mimi kupambana mwenyewe mpaka yule mwandulami na wababe kujikinga.

Kisa cha sheik:
nimekutana na masheik mpaka wale wanajua kupambana na majini na mmoja wapo ni waraisi mstaafu yupo hai ni kapa zaidi ya kunikwepa mpaka misikitini.

Kisa cha manabii:
hawa wanajua kutoa mapepo ila hata siku moja wakiniona wanaround about wakioniona mpaka kanisani kwao.

Kisa cha wachungaji:
hawa ni group la mwisho ambao nawaona kama nawajua sana kama masheik tu.

ID yangu naweza kukujua unacho fanya wengi wemethibitisha japo ndio napo tokea huko
Kwanini usijiombee mwenyewe?

Nakushauri shahadia kwa Muumba wako uanze kuingia msikitini ujiombee mwenyewe, ushetani ni sifa tu.
 
Omba mwenyewe wewe ndo unajua unachokihitaji zaidi ya yeyote, Mungu hana mawaziri wala wabunge kwamba kero zako lazima zipitie kwao, omba mwenyewe bro, katika uislam ukiwa hai unatakiwa ujiombee mwenyewe, huku hamna kwenda kumuelezea mtu dhambi zako eti yeye ndo akuombee msamaha hili halipo katika uislam.
 
Ni ukweli kabisa jina la ID yangu sijawai kuona lolote kwangu ni mekwenda kila mmoja ananiogopa maana kama vitengo vyote na mashuuda yako yamekataa.

Kisa cha mganga:
nilikwenda kwa mganga sikupata chochote zaidi ya mimi kupambana mwenyewe mpaka yule mwandulami na wababe kujikinga.

Kisa cha sheik:
nimekutana na masheik mpaka wale wanajua kupambana na majini na mmoja wapo ni waraisi mstaafu yupo hai ni kapa zaidi ya kunikwepa mpaka misikitini.

Kisa cha manabii:
hawa wanajua kutoa mapepo ila hata siku moja wakiniona wanaround about wakioniona mpaka kanisani kwao.

Kisa cha wachungaji:
hawa ni group la mwisho ambao nawaona kama nawajua sana kama masheik tu.

ID yangu naweza kukujua unacho fanya wengi wemethibitisha japo ndio napo tokea huko
Kijiko moto kuliko sifuria, pata picha
 
Mathayo 11::28-30.inaongea wazi kuwa njooni kwangu kwa Yesu wote wenye mizigo naye atawapumzisha mizigo haisemi njooni kwa mashehe, mitume,manabii ,maaskofu au wachungaji nk nao watawapumzisha mizigo

Neno liko very clear kwa lugha rahisi kabisa.mwenye mizigo aende wapi kwa Yesu sio kwingine
Tubu dhambi kwa Yesu halafu umuombe

Mleta mada haelewi Biblia
 
Mungu aMeumba watu akawapa freewill,hukulazimishi umfuate wala.utakuwa pale unechagua,endelea na ushoga
 
Back
Top Bottom