Sitofanya upuuzi wa kwenda kupima DNA kwa mtoto aliyezaliwa na mke wangu wa ndoa

Are you fine in your head!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu hua tuna akili za ajabu sana hatuna tofauti na wanyama.

Simba dume anapovamia kambi ya simba mwingine na kumshinda, hua anaua watoto wote wa yule simba na kuanzisha uzao wake.

Cha ajabu binadamu na sisi eti mfano ukikuta mwanamke/mwanaume ana mtoto aliezaa kabla hajakutana na wewe, na wewe eti unaanza kumchukia mtoto!! Hizo ni akili za wapi?

Binadamu yupo tayari kulea watoto wa ndugu, majirani, hata ku adopt watoto wa mtaani lakini hayuko tayari kulea mtoto wa mume/mke wake!

Sijui kama nipo ndani ya mada.
 
Acha longolongo umelambishwa limbwata, ukilea watoto wa vidume wengine sisi hilo linatuhusu nini? pambana na hali yako.......
 
Wanaume tumepungua simba dume tu anapovamia pride na kushinda Vita huuaa Yan anaua vitoto vyote cubs ambazo s za damu yake anaanza upya kuzalisha uzao unaotokana na yeye
 
Wanaume tumepungua simba dume tu anapovamia pride na kushinda Vita huuaa Yan anaua vitoto vyote cubs ambazo s za damu yake anaanza upya kuzalisha uzao unaotokana na yeye
Binadamu mwenye akili timamu hajifananishi na wala hamuigi mnyama anachofanya kisha na yeye ndo afanye.

Binadamu anatumia ufahamu wake kutatua mambo.

Kama wewe mwalimu wako simba sawa
 
Upo ndani ya mada.
 
Binadamu mwenye akili timamu hajifananishi na wala hamuigi mnyama anachofanya kisha na yeye ndo afanye.

Binadamu anatumia ufahamu wake kutatua mambo.

Kama wewe mwalimu wako simba sawa
S kujifananisha apo n fumbo yan kuonesha urijali na upambanaji Ukiwa mwanaume uliyekamilika lazima uwe hivo na kwa vovyote zaaa mtoto anayetokana na wew ili kuendeleza kizaz chako Wanaume tunafeli Wap? Yan unakubali yaishe ututnz
 
S kujifananisha apo n fumbo yan kuonesha urijali na upambanaji Ukiwa mwanaume uliyekamilika lazima uwe hivo na kwa vovyote zaaa mtoto anayetokana na wew ili kuendeleza kizaz chako Wanaume tunafeli Wap? Yan unakubali yaishe ututnz
Mwanaume rijali na mahir kutunza sperm za mwanaume mwenzako n ushoga huo
 
Huo ujinga wako mtoa mada nishaukataa.

Mimi nalea damu yangu TU,
maana mbegu ninazo, yanini nikalee bao la mtu.
 
Sio vibaya kujifariji mdomoni Ila Moyo ndio wenye ukweli.
KABISA,
Mtoa ma anajifariji TU.

Ila kiuhalisia Hamna kitu inauma kama mkeo achepuke mpk afikie kubeba mimba.

Hiyo Ni HIGH LEVEL ya usaliti,
na unaumiza Sana na haivumiliki.

Kila ukimwangalia mtoto,
afu ukakumbuka jins mkeo alivokua anamkatia uno jamaa lazima roho itauma mno.
 
Kwwnza usije rogwa ukaenda ku confirm mtoto kwa mke wako wa ndoa wale ustawi wa jamii na mkemia mkuu utafikili wana maelekezo kutoka juu.Yaani hapo jibu linakuja mtoto ni wako kwa sababu wanachoamini ni kuwa umeenda ili upewe uhakika au uonhezewe imani kuwa yule mtoto ni wako.Ukitaka kujua nachomanisha we angalia report yao ya mwaka huwa inasema kuwa wengi waliokuja kupima DNA watoto wanaonesha sio wao ila kila alie enda jibu lilikuwa ni wako huyo pia hawakupi majibu urudi nayo nyumbani wanaogopa utaenda nchi nyingine ku confirm alafu ukute majibu mengine utawashitaki.
DNA kapime KENYA sio TZ
 
Haya Ndo yale Yale ya SABRINA na mzee Abduli kwa DIAMOND PLATNUMZ..

Mzee Abduli alikubali upuuzi Kama huo, kalea na kagharamia akijua kabisa ile sio damu yake.

Mwisho wa sikU mzee anambulia dharau na ngebe[emoji3525]
 
Ujinga huo sifanyi Mimi[emoji3525]
 
Wanaume tumepungua simba dume tu anapovamia pride na kushinda Vita huuaa Yan anaua vitoto vyote cubs ambazo s za damu yake anaanza upya kuzalisha uzao unaotokana na yeye
Binafsi,
Silei bao la mtu.

Mfano:
Nikigundua mke wangu kachepuka NAFUKUZA onspot.

Na Kama kanasa hadi mimba,
Najua kadhamiria kabisa uyu kenge na hapo VIBAO vitahusika.

Salama salama yake,
Afanye TU ABORTION,

silei bao la mtu Mimi[emoji3525]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…