Sitofanya upuuzi wa kwenda kupima DNA kwa mtoto aliyezaliwa na mke wangu wa ndoa

Sitofanya upuuzi wa kwenda kupima DNA kwa mtoto aliyezaliwa na mke wangu wa ndoa

Kibongobongo ni noma kulea damu ya mpita njia, ila uko Maghribi ni fresh tu adi wana Adoption watoto wanakuwa kama wakwao
 
Nikizaa na mke wangu ukaleta pua yako kuwa mtoto ni wako ukitegemea ntamfukuza au kukuachia mtoto unajidanganya, mtoto sikupi na mke akileta ujinga namtimua,
Yaani mimba nitunze mimi mtoto uje uchukue wewe?
Je mtoto akitaka kumjua baba yake halisi wa kibayolojia?
 
Ni upuuzi wa hali ya juu sana kwenda kupima D.N.A kwa kigezo cha kutaka kuhakikisha eti kama mtoto ni wako a sio wako.

Watu wanatafuta watoto kwenye ndoa zao wewe unapata unajifanya kwenda kufanya DNA kutaka uhakika.

Tulipopata mtoto wife akaniuliza kimasihara kwamba mtoto hajachukua sura zetu ? Nikamuambia maadamu ulihakikisha unamzaa basi huyo ni wetu na mimi ndio baba yake.

Ingelikuwa watoto lazima wafanane na wazazi wao basi dunia nzima wpte tungekuwa na sura ya ADAM na hawa mana ndio binadamu wa mwanzo(kwa mujibu wa imani kadhaa).

Mimi mtu akipanda ndizi kwenye shamba langu sina haja ya kutafuta nani kapanda,zikiota nitakula na siulizi kitu chochote.

Kama mtu kaja kuweka laki moja yake kwenye mfuko wa suruali yangu alafu akaondoka mimi natumia hizo pesa na wala siulizi chochote.

Na kwa mtoto hivyo hivyo mtu kajipendekeza kupachika mimba kwa mkeo wewe mhodhi mtoto anakuwa wako daima.

Mtoto ni mali ya wazazi kama mungu amejaalia mtoto amezaliwa kwenye ndoa yenu usimuache komaa nae mpaka akue hata kama sio wako kibaiolojia ila ukimlea kimapenzi atakuita baba na atakuwa na mapenzi ya kweli kama baba yake mzazi tu.

Kinachowaweka karibu baba na mtoto sio uhusiano wa kibaoolojia bali ni ukaribu katika malezi yao,hivyo hata kama sio mwanao biologically lakini kimalezi atakuwa mwanao na mtaishi kwa upendo na yeye atajua hivyo.
Sawa nimekuelewa mkuu
wewe hata ukichapiwa hujali
unachohitaji ni watoto tuu
safi sana,
 
Ushauri: kama wewe na mke 'umnashaka' na features ya mtoto itakuwa jambo la busara mkapime DNA.
Facts huwa inasaidia kuliko kukaa na doubts..
 
Ni upuuzi wa hali ya juu sana kwenda kupima D.N.A kwa kigezo cha kutaka kuhakikisha eti kama mtoto ni wako a sio wako.

Watu wanatafuta watoto kwenye ndoa zao wewe unapata unajifanya kwenda kufanya DNA kutaka uhakika.

Tulipopata mtoto wife akaniuliza kimasihara kwamba mtoto hajachukua sura zetu ? Nikamuambia maadamu ulihakikisha unamzaa basi huyo ni wetu na mimi ndio baba yake.

Ingelikuwa watoto lazima wafanane na wazazi wao basi dunia nzima wpte tungekuwa na sura ya ADAM na hawa mana ndio binadamu wa mwanzo(kwa mujibu wa imani kadhaa).

Mimi mtu akipanda ndizi kwenye shamba langu sina haja ya kutafuta nani kapanda,zikiota nitakula na siulizi kitu chochote.

Kama mtu kaja kuweka laki moja yake kwenye mfuko wa suruali yangu alafu akaondoka mimi natumia hizo pesa na wala siulizi chochote.

Na kwa mtoto hivyo hivyo mtu kajipendekeza kupachika mimba kwa mkeo wewe mhodhi mtoto anakuwa wako daima.

Mtoto ni mali ya wazazi kama mungu amejaalia mtoto amezaliwa kwenye ndoa yenu usimuache komaa nae mpaka akue hata kama sio wako kibaiolojia ila ukimlea kimapenzi atakuita baba na atakuwa na mapenzi ya kweli kama baba yake mzazi tu.

Kinachowaweka karibu baba na mtoto sio uhusiano wa kibaoolojia bali ni ukaribu katika malezi yao,hivyo hata kama sio mwanao biologically lakini kimalezi atakuwa mwanao na mtaishi kwa upendo na yeye atajua hivyo.
Asante kwa kunilelea mtoto wangu ubarikiwe mkuu. Akiwa mkubwa mamake atamwambia ukweli kuwa wewe sio babake mzazi.
 
Asante kwa kunilelea mtoto wangu ubarikiwe mkuu. Akiwa mkubwa mamake atamwambia ukweli kuwa wewe sio babake mzazi.
Hahhah mkuu maisha kujipa stress ni kujitakia tu.

Uzuri ni kwamba unamlea mtoto kwa malezi ya upendo mpaka hakusahau.

Uzuri wa baba awe amekulea ndio utapata ile feeling ya baba
 
Mkuu yamekusibu yepi mpaka umefikiria hivyo? Baba ni yule aliyetoa jasho kukulea, mtoto hata akitaka kumjua baba yake halisi/ kibaiolojia bado hawezi kukusahau, Tulee watoto wote kwa upendo
 
Mkuu yamekusibu yepi mpaka umefikiria hivyo? ,,baba ni yule aliyetoa jasho kukulea,,, mtoto hata akitaka kumjua baba yake halisi/ kibaiolojia bado hawezi kukusahau, Tulee watoto wote kwa upendo
Nimeona mambo ya DNA yamekithiri sana.

Alafu mimi nilipopata mtoto sikuwa na hofu ya kwamba sio wangu,na wala sikuwa na mpango wa DNA na wala mtoto mwanzo hakufanana na mimi,ila sikuwa na presha hata kidogo,wengine wanataka mtoto afanane na wao kila kitu
 
Mke wangu alafu mtu aseme mtoto wake
Itaniuma sana.

Nikifikiria tu kwamba ili aseme mtoto ni wake it means alikuwa anamchagama wife
Hapo hamna wife tena bila hata kupima DNA tunaachana
 
Ukichanganya mayai ya kuku na kwale yatatotolewa yoote na kulelewa vilanga wote

Lakini mwisho wa siku vitajichambua tuu hata ukijifanya kutojua utofauti wao


Kama wew3 sio baba wa mtoto amua kumlea tui lakino ujue ipo siku atamtaka baba yake. Labda majirani wooooote walioshuhidia mimba yake wafe.
 
Back
Top Bottom