Sitofanya upuuzi wa kwenda kupima DNA kwa mtoto aliyezaliwa na mke wangu wa ndoa

Sitofanya upuuzi wa kwenda kupima DNA kwa mtoto aliyezaliwa na mke wangu wa ndoa

Sidhani Kama mtoa mada anauwezo wa kuzalisha(samahani lakini).Kama Mungu amekupa uwezo wa kutungisha mimba sidhani Kama kutakua na furaha hapo.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nikizaa na mke wangu ukaleta pua yako kuwa mtoto ni wako ukitegemea ntamfukuza au kukuachia mtoto unajidanganya, mtoto sikupi na mke akileta ujinga namtimua,
Yaani mimba nitunze mimi mtoto uje uchukue wewe?
Mimi akijilengesha mtu wa namna hiyo kwangu,ajue nakula maini na moyo wake.halafu namzika. Yaani kwanza kampachika wife wangu mimba,halafu mm nikakausha ili familia yangu isiyumbe ,nikakomaa nikalea mimba japo najua kwa Siri hii nimepigwa ,mtt akazaliwa nikalea Hadi akakua ,akafanikiwa ,halafu mwishoni fala anajipendekeza eti mwanae,walahi naua yeye,na wtt wake wote,na mkewe pia.yaani nahakikisha nafunga mlango wa nyumba yake!! pumbavu!!
 
Back
Top Bottom