SPACE CADET
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 2,280
- 3,555
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] make kwanza nilieHaina shida wataoa wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] make kwanza nilieHaina shida wataoa wengine.
Cheza rumbaNani mshindi kati ya mwanaume na mwanamke?
hivi ni kweli wanawake wamewazidi akili mpaka mnajisalimisha hivo?[emoji848]
Umeandika ujinga kwa ujasiri mkubwa sana.Sasa wewe Rasterman hujui kwamba mtu wa kwanza kuagiza gari aina ya Hammer kwenye nchi hii ni Zitto Kabwe, au hujui kwamba hana ndoa?
Huamini kwamba Sugu a.k.a Jongwe ni bilionea? Ana ndoa gani yule zaidi ya kula bata tu kwenye hotel yake kule Soko Matola?
Hata kama ni kweli hujawahi ona, hata masikio hayasikii?
Marekani mfano wa taifa ambalo lina mmomonyoko mkubwa wa maadili kwa sababu ya ku temper na taasisi ya ndoa.Afrika bado tupo nyuma Sana wenzetu marekani haya mambo yakuooa walishaona kitambo ni tatizo ni ngumu kudili nayo
Si mnasema tutafute hela[emoji23][emoji23][emoji23] what did you expect?Its sad kuona vijana wanathamini sana hela kuliko their next generation
Literally TOO SAD
Ndio katiba inavyo eleza au ?Uraisi wa nchi..
Kuna vyeo nyeti vya usalama wa nchi huwezi kuwekwa bachelor...
Any way hizi sio sababu nguli za kufanya uoe au uolewe mwisho wa siku kila mtu afanye na aonavyo inampendeza...
Tatizo ndoa zinawaondoa wanaume duniani kwa kasi ya Ajabu. That's why to be safe ni bora ukae pembeni uepushe malumbano. Wasiooa wanaishia miaka mingi. Na hawazeeki haraka kama walimu[emoji23][emoji23]Endeleeni kuzalisha nje badae mje muwaponde humu single mothers wa watu...kuoa au kuolewa utabaki kuwa na heshima yake hata mje maelfu kusema ndoa sio jambo jema..kuna kazi zingine mtazikosa au vyeo mtavikosa kisa tuu huna ndoa ya kisheria.
Sure. Harusi hadi milioni 40. Inatosha kunua kiwanja cha milioni 8 Goba, unajenga nyumba ya milioni 15 na IST unanunua na chenji juuKuowa kwa sasa kumekuwa ni gharama kuliko kununua kiwanja na kujenga
Kwani Ma single mother waliopo walizalishwa na nani?Its sad kuona vijana wanathamini sana hela kuliko their next generation
Literally TOO SAD
Kuna mke wa jana namkkuka nimZamani ilikuwa mtu akiwa kwenye ndoa unaona enhee kweli jamaa anafaidi. Kuna vitu ulikuwa ili uvipate aidha kwa mwanamke au mwanaume lazima uingie kwenye ndoa.
Sikuhizi mambo yamekuwa vice versa.
Binafsi sijaona sababu ya kunifanya nioe. Rafiki zangu waliooa kila siku wananiambia matatizo wanayokumbana nayo. Leo hili kesho lile.
Haya basi usiseme sitaki kuoa kisa hizo shida lakini pia raha zao, raha wanazopata kwenye ndoa hata mimi nisiyeoa naweza kuzipata.
Sijui wanawake wamejirahisisha au ndo usasa? Naona vitu vimekuwa tofauti na zamani
Cha msingi ni kuwa na ela tu.
Ela ndo kila kitu ukiwa nazo utapata kila kitu anachopata mwanandoa tena bila karaha zake. Binafsi sijioni nikioa labda miaka inavyozidi kwenda nitabadili mtazamo wangu.
Ila kwa sasa BADO SANA.
Kusema nimeandika ujinga pasipo kubainisha huo ujinga, unakuwa umeandika Upumbavu.Umeandika ujinga kwa ujasiri mkubwa sana.
Ni kitu gani hicho kiongozi..Nyuzi kama hizi huwa nazipenda mno. Kila ninapozisoma kuna kitu kikubwa huwa nakithibitisha......
Sio kitu wanavumilia hata ambao hata kumridhisha kimwili hawezi lakini wanavumilia tu na kuwa tunzia siri, mwanaume anapita hapo mkanda nje kumbe huko ndani ni bila bilaBado kuna wanawake wanaovumilia kuwa na mwanamme ambaye hana kitu?