Sitooa abadan asilan

Umeandika ujinga kwa ujasiri mkubwa sana.
 
Uraisi wa nchi..
Kuna vyeo nyeti vya usalama wa nchi huwezi kuwekwa bachelor...
Any way hizi sio sababu nguli za kufanya uoe au uolewe mwisho wa siku kila mtu afanye na aonavyo inampendeza...
Ndio katiba inavyo eleza au ?
 
Endeleeni kuzalisha nje badae mje muwaponde humu single mothers wa watu...kuoa au kuolewa utabaki kuwa na heshima yake hata mje maelfu kusema ndoa sio jambo jema..kuna kazi zingine mtazikosa au vyeo mtavikosa kisa tuu huna ndoa ya kisheria.
Tatizo ndoa zinawaondoa wanaume duniani kwa kasi ya Ajabu. That's why to be safe ni bora ukae pembeni uepushe malumbano. Wasiooa wanaishia miaka mingi. Na hawazeeki haraka kama walimu[emoji23][emoji23]
 
Kuoa ni lazima japo dada zangu wa siku wengi kikosi cha mizinga (block 40).

Ila ukimpata anayejua nini maana ya maisha, anajua maisha yana kushuka na kupanda, plus hofu ya Mungu, ukimpata huyo unaweza ukajihisi fesha za BOT ni zako.

Ila tatizo dada zangu sometimes mntufanya tuonekane malaya, unamtongoza demu saa tatu ,saa nne matatizo lukuki anakutajia mpaka unamuogopa, mwisho wa siku unaamua kugonga na kuamsha.
 
Kuna mke wa jana namkkuka nim
 
Kuna mke wa jamaaa mmoja nakaza sasa namtishia nataka kumuacha ili nimovi na mambo yangu anatishia kujiua
 
Bado kuna wanawake wanaovumilia kuwa na mwanamme ambaye hana kitu?
Sio kitu wanavumilia hata ambao hata kumridhisha kimwili hawezi lakini wanavumilia tu na kuwa tunzia siri, mwanaume anapita hapo mkanda nje kumbe huko ndani ni bila bila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…