Sitooa abadan asilan

Sitooa abadan asilan

Wala usihangaike na ndoa, relax kwanza, kula raha kwanza, baadae utakapo amua kuoa(kuishi na balaa ndani) oa! Watu wasikudanganye, kuishi na mwanamke kwa dunia ya leo ni shubiri, ni balaa!
 
Zamani ilikuwa mtu akiwa kwenye ndoa unaona enhee kweli jamaa anafaidi. Kuna vitu ulikuwa ili uvipate aidha kwa mwanamke au mwanaume lazima uingie kwenye ndoa.

Sikuhizi mambo yamekuwa vice versa.

Binafsi sijaona sababu ya kunifanya nioe. Rafiki zangu waliooa kila siku wananiambia matatizo wanayokumbana nayo. Leo hili kesho lile.

Haya basi usiseme sitaki kuoa kisa hizo shida lakini pia raha zao, raha wanazopata kwenye ndoa hata mimi nisiyeoa naweza kuzipata.

Sijui wanawake wamejirahisisha au ndo usasa? Naona vitu vimekuwa tofauti na zamani

Cha msingi ni kuwa na ela tu.

Ela ndo kila kitu ukiwa nazo utapata kila kitu anachopata mwanandoa tena bila karaha zake. Binafsi sijioni nikioa labda miaka inavyozidi kwenda nitabadili mtazamo wangu.

Ila kwa sasa BADO SANA.
Wanaoa wanaume wewe mtoto subiri kwanza
 

Attachments

  • 70c5704c42a661c5435967e10f9dea43.mp4
    1,019 KB
Ndugu, chochote kisicho na thamani/umuhimu ubongo wetu umeumbwa kupuuza na kusahau
kama ulivyoshusha mzigo leo asubuhi uka flash fasta ukaondoka ukasahau hujaja kupost JF

Au ulivyokaa kwenye ndinga yako akapita machinga anauza maepo hukununua umesahau hujapost jf

Au ulivyoondoka nyumbani bila kumgongea jirani kumsalimia


Vipi ingekuwa umeondoka hujamsalimia mkeo kitandani? Dhahiri ungesumbuka siku mzima kwasababu ya ugomvi mlio nao ambao akilini unajua hampaswi kuwa na ungomvi,

Ndoa ni kitu kiko akilini mwenu muda wote wanaume wa JF, kukosa ndoa kunawatesa sana, makala na mijadala mirefu ya kuponda ndoa na wanawake kila siku kwasababu ni jambo linasumbua akili zenu

Lingekuwa ni jambo mlilopuuza kusingekuwa na makala hata moja kuhusu ndoa na wanawake nakuhakikishia
Nimekupata sana, yaani wanatafuta justification ili wajione wapo sahihi.
 
Zamani ilikuwa mtu akiwa kwenye ndoa unaona enhee kweli jamaa anafaidi. Kuna vitu ulikuwa ili uvipate aidha kwa mwanamke au mwanaume lazima uingie kwenye ndoa.

Sikuhizi mambo yamekuwa vice versa.

Binafsi sijaona sababu ya kunifanya nioe. Rafiki zangu waliooa kila siku wananiambia matatizo wanayokumbana nayo. Leo hili kesho lile.

Haya basi usiseme sitaki kuoa kisa hizo shida lakini pia raha zao, raha wanazopata kwenye ndoa hata mimi nisiyeoa naweza kuzipata.

Sijui wanawake wamejirahisisha au ndo usasa? Naona vitu vimekuwa tofauti na zamani

Cha msingi ni kuwa na ela tu.

Ela ndo kila kitu ukiwa nazo utapata kila kitu anachopata mwanandoa tena bila karaha zake. Binafsi sijioni nikioa labda miaka inavyozidi kwenda nitabadili mtazamo wangu.

Ila kwa sasa BADO SANA.
💯🤝
 
Zamani ilikuwa mtu akiwa kwenye ndoa unaona enhee kweli jamaa anafaidi. Kuna vitu ulikuwa ili uvipate aidha kwa mwanamke au mwanaume lazima uingie kwenye ndoa.

Sikuhizi mambo yamekuwa vice versa.

Binafsi sijaona sababu ya kunifanya nioe. Rafiki zangu waliooa kila siku wananiambia matatizo wanayokumbana nayo. Leo hili kesho lile.

Haya basi usiseme sitaki kuoa kisa hizo shida lakini pia raha zao, raha wanazopata kwenye ndoa hata mimi nisiyeoa naweza kuzipata.

Sijui wanawake wamejirahisisha au ndo usasa? Naona vitu vimekuwa tofauti na zamani

Cha msingi ni kuwa na ela tu.

Ela ndo kila kitu ukiwa nazo utapata kila kitu anachopata mwanandoa tena bila karaha zake. Binafsi sijioni nikioa labda miaka inavyozidi kwenda nitabadili mtazamo wangu.

Ila kwa sasa BADO SANA.
'Ela' ndio kila kitu....! Sawa. Labda kuna ukweli flani.

Ndoa ina umuhimu wake tofauti na ngono tu ambayo vijana wengi mnafikiria, lakini hata hiyo ngono, ni tofauti sana ukiipata kwa mkeo na ukiipata kwa malaya wa barabarani.

Kama sababu yako ya kutooa ni kwa sababu unaweza kupata ngono bila ndoa, hiyo sababu haina misingi, inaelea. Japo pia ni kweli kwamba kuna sababu nyingi zinazofanya baadhi ya watu wasione kabisa uzuri au umuhimu wa ndoa. Lakini kwako wewe inaonekana bado mdogo na miaka ikisonga unaweza ukabadili msimamo.

Lakini, hata usipobadili msimamo ukaamua kutooa hadi uzeeni, napo pia ni sawa tu, maisha ni mafupi halafu hayana maana yeyote, Life has no meaningful objective, Sometimes is like an illusion.
 
IMG-20221012-WA0007.jpg
 
Endeleeni kuzalisha nje badae mje muwaponde humu single mothers wa watu...kuoa au kuolewa utabaki kuwa na heshima yake hata mje maelfu kusema ndoa sio jambo jema..kuna kazi zingine mtazikosa au vyeo mtavikosa kisa tuu huna ndoa ya kisheria.
Ndoa ina heshima kwa sababu tu ya mila za kiafrika ambazo zinabadilika kwa kasi sana, siku zijazo tutakuwa tu kama ulaya, mtu bachela ataruhusiwa kuwa raisi kama vile nchi za ulimwengu wa kwanza.

Ukizungumzia kazi au vyeo, mbona kuna watu hawana ndoa na wana kazi nzuri sana na vyeo vikubwa, na wanafanya vizuri makazini, nikupe mifano?
 
Cha msingi ni kuwa na ela tu.

Ela ndo kila kitu ukiwa nazo utapata kila kitu anachopata mwanandoa tena bila karaha zake.
Ulishawahi kuona Tajiri asiye na Mke?

Yaani kushobokea madanguro ya sex workers basi unajiona mjanja sana?

Mabilioni ya wanaume wanao ia kila siku woote hawana akili isipokuwa wewe mwenzetu wa hapo Runzewe shinyanga?
 
Ulishawahi kuona Tajiri asiye na Mke?

Yaani kushobokea madanguro ya sex workers basi unajiona mjanja sana?

Mabilioni ya wanaume wanao ia kila siku woote hawana akili isipokuwa wewe mwenzetu wa hapo Runzewe shinyanga?
Kwanza kuilinganisha Runzewe Shinyanga na mambo yasiyokuwa na akili haikubaliki. Runzewe ni sehemu nzuri sana, tengua kauli.

Pili, kama wewe hujawahi kuona tajiri asiye na mke basi hujatembea, au labda macho yako yana makengeza.
 
Back
Top Bottom