Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Umuhimu wake ni nini?Kuwa na familia muhimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umuhimu wake ni nini?Kuwa na familia muhimu
Sasa mpaka utembee sana ndio umuone?Kwanza kuilinganisha Runzewe Shinyanga na mambo yasiyokuwa na akili haikubaliki. Runzewe ni sehemu nzuri sana, tengua kauli.
Pili, kama wewe hujawahi kuona tajiri asiye na mke basi hujatembea, au labda macho yako yana makengeza.
Japo huwa hawaaminiki haminiki hivi kwenye madaraka makubwa sana...Ndoa ina heshima kwa sababu tu ya mila za kiafrika ambazo zinabadilika kwa kasi sana, siku zijazo tutakuwa tu kama ulaya, mtu bachela ataruhusiwa kuwa raisi kama vile nchi za ulimwengu wa kwanza.
Ukizungumzia kazi au vyeo, mbona kuna watu hawana ndoa na wana kazi nzuri sana na vyeo vikubwa, na wanafanya vizuri makazini, nikupe mifano?
Sasa wewe Rasterman hujui kwamba mtu wa kwanza kuagiza gari aina ya Hammer kwenye nchi hii ni Zitto Kabwe, au hujui kwamba hana ndoa?Sasa mpaka utembee sana ndio umuone?
Kwa nini wasiaminike?Japo huwa hawaaminiki haminiki hivi kwenye madaraka makubwa sana...
Hebu nipe mfano
Una uhakika hao wanawake wanafurahia kukosa watoto na waume? Au ni kwa vile tu hawakujaaliwaKwa nini wasiaminike?
Anna Makinda aliliongoza bunge letu vizuri tu. Hana ndoa huyo mama.
Kuna mtangazaji bora kuwahi kutokea BBC kama Zuhura Yunus?
Hajaolewa na ameaminiwa na Ikulu ya nchi yetu hadi kupewa usemaji wa nchi, niongeze mifano?
Hilo la kufurahia ama kutofurahia ni jambo jingine, Hata wenye waume ni wengi tu hawafurahii kuwa kwenye hizo ndoa, ni kwa vile tu wameshindwa namna ya kujiondoa.Una uhakika hao wanawake wanafurahia kukosa watoto na waume? Au ni kwa vile tu hawakujaaliwa
Imenitokea hii japo tulikuwa hatujafunga ndoaIla sikuhizi ukipata shida ndoani mwenza badala ya kukupa kampani apite nawe shidani na Faraja tele yeye ndo hukukimbia mazima.Sijui ndo shetani kashatawala walimwengu? Daaa
Mfano cheo gani au kazi gani ulishasikia au mtu anaweza kosa kisa ana ndoa nineuliza naomba unijEndeleeni kuzalisha nje badae mje muwaponde humu single mothers wa watu...kuoa au kuolewa utabaki kuwa na heshima yake hata mje maelfu kusema ndoa sio jambo jema..kuna kazi zingine mtazikosa au vyeo mtavikosa kisa tuu huna ndoa ya kisheria.
Uraisi wa nchi..Mfano cheo gani au kazi gani ulishasikia au mtu anaweza kosa kisa ana ndoa nineuliza naomba unij
Bado kuna wanawake wanaovumilia kuwa na mwanamme ambaye hana kitu?Kama ulimpata kwa ajili ya pesa zako sasa pesa zimeisha nini kitambakiza?
Me mwemyewe kwasasa sina mpango wa kuoa kabisa labda mtazamo utakuja kubadilika lkn sidhaniZamani ilikuwa mtu akiwa kwenye ndoa unaona enhee kweli jamaa anafaidi. Kuna vitu ulikuwa ili uvipate aidha kwa mwanamke au mwanaume lazima uingie kwenye ndoa.
Sikuhizi mambo yamekuwa vice versa.
Binafsi sijaona sababu ya kunifanya nioe. Rafiki zangu waliooa kila siku wananiambia matatizo wanayokumbana nayo. Leo hili kesho lile.
Haya basi usiseme sitaki kuoa kisa hizo shida lakini pia raha zao, raha wanazopata kwenye ndoa hata mimi nisiyeoa naweza kuzipata.
Sijui wanawake wamejirahisisha au ndo usasa? Naona vitu vimekuwa tofauti na zamani
Cha msingi ni kuwa na ela tu.
Ela ndo kila kitu ukiwa nazo utapata kila kitu anachopata mwanandoa tena bila karaha zake. Binafsi sijioni nikioa labda miaka inavyozidi kwenda nitabadili mtazamo wangu.
Ila kwa sasa BADO SANA.
Nani kakwambia anataka kazi ?Endeleeni kuzalisha nje badae mje muwaponde humu single mothers wa watu...kuoa au kuolewa utabaki kuwa na heshima yake hata mje maelfu kusema ndoa sio jambo jema..kuna kazi zingine mtazikosa au vyeo mtavikosa kisa tuu huna ndoa ya kisheria.
Afrika bado tupo nyuma Sana wenzetu marekani haya mambo yakuooa walishaona kitambo ni tatizo ni ngumu kudili nayoWe bado mdogo kiakili na kimaisha.
Alie oa mwanamke sahihi lazima atoboe mapema kabla yako
Bwana sijamlazimisha ni maoni yangu wala hakuna alieambiwa soma hii comment na uifateNani kakwambia anataka kazi ?