Mwaka wa nyuma yake nilipiga A ya Kiswahili NECTA ila hiyo ya 2009 ni π₯π₯π₯Hello guys,
Ule mtihani ulikuwa umesukwa, walioongoza kitaifa wenyewe walikuwa na B kwenye huo mtihani wa kiswahili.
Hivi kwenye ule mtihani, nchi nzima kuna mtu alipata A kweliπ, nahisi alietunga ule mtihani ni mzaramo pure.
Na form 4 yangu nilikutana na misamiati ambayo sikuwahi iona tangu nizaliwe, sijui kinyenyezi, sijui Matlaba πππΎ
View attachment 3016146
Ulipata kiswahili F?ππππππCsee 2010
Kiswahili F
DIV III POINT 15
Yaaahp F swaafi kabisa Math AUlipata kiswahili F?ππππππ
Aaaaa kumbe nyie ndo wale wa people calculating than machines (PCM) ni haki yako kupata FYaaahp F swaafi kabisa Math A