Sitosahau nilipopata Gono na UTI kwa mke wa jirani yangu

Kapime Ngoma
 
Hivi mnaanzaga kudumbukiza tu pasipo kuikagua? Zenye maambukizi hazina dalili?

Au mpk tuwaelekeze namna ya kuipiga chabo kabla hujaila?
Wauzie hiyo ramani wazee wa kimasikhala watakushukuru baadae.
 
Mwanamke hata awe mzuri kama malaika akishajirahisi kiasi hiko asilani abadani simto**bi, vinginevyo labda uniambie ulikuwa umelewa pombe ikachukua mkondo wake
 
Duh! Usirudie tena...Mytake kwa vijana, msiruhusu wake zenu au wapenzi wenu wakaenda kulewa wakiwa wenyewe, mtawalaumu bure sababu mwisho wa starehe ya ulevi wao ukamilishwa kwa kutoa tunda, hata kimasikhara wanakuwa wapo tiyari.!
Kwani,mwanamke anaeamua kwena baa na kukaa,ana sifa za kuitwa mke wa mtu? Kwanza mwanamke mlevi,ujue umepigwa na kitu kizito. Japo si wote,ila walau kwa waislam hata mwenye maovu,ataficha. Sasa,mwanamke anaenda kukojoa,bia zimepanda anafatwa nyuma au anamkuta mtu,hata hawafahamiani,linainama anachomeka. Jamani,basi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…