IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
- Thread starter
- #221
Sio wewe si unaona anaitwa MonsterEnergy au...🤣🤣🤣huu si muandiko wa IamBrianLeeSnr kabisa huu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wewe si unaona anaitwa MonsterEnergy au...🤣🤣🤣huu si muandiko wa IamBrianLeeSnr kabisa huu??
Clepatina huu si muandiko wa secret admirer wako....Sio wewe si unaona anaitwa MonsterEnergy au...🤣🤣🤣
Unazingua sasa mwanangu...Tafsiri yake uende akuoneshe dyudyu yake kwenye boksari kisha akumbeto mbuzi kagoma🤣
we si ulisha pigwa chini, tulia😂Oi! Gily amemkwaza sana huyu mwanamama...Kila nikijaribu kusuluhisha bado hanielewi..
Nipe ushauri nifanyeje sasa...
Wazee ganiKwa huu ulege ulege tutaanza kusikia. Alafu mara nyingi ni "wazee wenyewe" wakiona wanasiasa wanafanya yao kwa fujo nao wanakusanya kivingine.
Atamiminiwa nyingi nyingi au sio...🤣🤣🤣Ipo siku wee choko
nimemkumbuka IamBrianLeeSnrHahahaa! Kwanini mzee!
Anazingua na uchoko wake.... Risasi utumie ya nini unamkata tu mkono wake wa kuliaAtamiminiwa nyingi nyingi au sio...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jambo poti..Ila ni maneno ya kusadikikaWazee gani
Amefanyeje huyo hahahaaanimemkumbuka IamBrianLeeSnr
Mkuu watu wako kaziniHabari wanajamii,
Salam kwenu na natumai nyote ni buheri wa afya, Naona nielekee kwenye hoja husika.
Ilikua ni siku ya mapumziko(weekend) siku ya jumapili tarehe 22 ya mwezi wa 9 mwaka 2007 maeneo ya mbezi beach eneo linafahamika sana kwa jina alimaarufu (Africana) njia ya kuelekea whiteSands au kwa zena, maeneo hayo kuna bar maarufu sana inafahamika kwa jina la highbury hapo ndipo lilikua eneo langu la kupumzisha akili baada ya mihangaiko ya kutwa nzima.
Siku hiyo ilikua ni mapumziko na ilikua ni jumapili nilitoka jioni na kuelekea kwenye hilo chimbo kumwagilia moyo na kampani ya wadau kadhaa kama ilivyokuwa kawaida yetu kujumika pamoja na kupata viburudisho kadhaa na kujiopolea warembo katika bar hiyo na walikua wazuri kweli kweli, Sasa wakati tukiendelea kumwagilia moyo hapo mdaa uliendelea kusonga hadi ilipofika majira ya saa nne(4) usiku ziliingia gari mbili aina ya land cruiser nyeusi na walishuka mababiloni nane(8) wakiwa wamevalia makoti marefu meusi na kofia aina ya Pama huku wakiwa wamefunika nyuso zao na walishikilia silaha aina ya mtutu(A.K.A 47) ghafla ulisikika mlio mkali wa risasi mbili zilizopigwa hewani na kuamuru watu wote tulale chini na tutoe kila tulichonacho tuweke pembeni, Sasa mimi wakati wa hamaki zikiendelea na purukushani za watu kujihami na vurumai zile nikaona nikimbilie counter kwakuwa nilijua kuna mlango wa nyuma nilifanikiwa ila huu ndio ungelikua mwisho wangu wa maisha kwani kati ya wale majambazi alifyatua risasi iliyonikosakosa usawa wa kichwa na kwenda kupiga nguzo za counter na kuacha tundu(shimo) kubwa sana.
Nashukuru nilifanikiwa kuokoa maisha yangu siku hiyo maana ilikua ni hatari sana hata kupelekea wahudumu wawili kufariki palepale baada ya kupigwa na risasi siku hiyo na baadhi ya wateja waling’olewa meno kwa kupigwa na vitako vya mtutu wakati wa uporwaji wa mali walizokua nazo siku hiyo.
Hili tukio sitakuja kulisahau maishani mwangu kabisa na huwa namshukuru mungu kwa ujasiri alionipa siku hiyo.
Hahahaa...wakufumuliwa marinda na kumtupa baharini huyu hana faida...🤣🤣🤣Anazingua na uchoko wake.... Risasi utumie ya nini unamkata tu mkono wake wa kulia
Haaa haaaa wale hawawezi kufanya hvo bhn Mkuu.... Viapo vyao.Jambo poti..Ila ni maneno ya kusadikika
miandiko yenu inafanana sanaAmefanyeje huyo hahahaaa
Kazi ndogo sana hiyo.Hahahaa...wakufumuliwa marinda na kumtupa baharini huyu hana faida...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio kweli nilikimbia kwa mwendo wa kijeshi ndio maana hakuweza kuwa na target kabisa...Mkuu watu wako kazini
Wamekuja kikazi kazini afu maelekezo yametoka watu wote walale chini afu wewe unakimbikia kimbia kama Swala sijui kuelekea kaunta sijui chooni sijui smoking Area harooo mura
Umekufa wewe
Sawa Mkuu uko SahihiSio kweli nilikimbia kwa mwendo wa kijeshi ndio maana hakuweza kuwa na target kabisa...