Sitosahau nilivyokoswa na risasi nikiwa baa

Tafsiri yake uende akuoneshe dyudyu yake kwenye boksari kisha akumbeto mbuzi kagoma🤣
Unazingua sasa mwanangu...

Huyo manzi anagombana na mtu hapo kwa ajili ya kauli chafu na wewe ndio unazidi kazia kabisa..🤣🤣🤣 Acha uhuni...
 
Mkuu watu wako kazini
Wamekuja kikazi kazini afu maelekezo yametoka watu wote walale chini afu wewe unakimbikia kimbia kama Swala sijui kuelekea kaunta sijui chooni sijui smoking Area harooo mura
Umekufa wewe
 
Mkuu watu wako kazini
Wamekuja kikazi kazini afu maelekezo yametoka watu wote walale chini afu wewe unakimbikia kimbia kama Swala sijui kuelekea kaunta sijui chooni sijui smoking Area harooo mura
Umekufa wewe
Sio kweli nilikimbia kwa mwendo wa kijeshi ndio maana hakuweza kuwa na target kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…