Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito





 
hadi sasa naendelea kupata maziwa fresh kwa kikombe, sijapata chai. naweka kambi hapa.
 
Unabadikishaje nguo mwili ukiwa mchafu, si bado itakua chizi kavaa nguo mpya.
 
Ungemalizia tujue safari ilitamatikaje..
 
Jamani kitoabu Ni noma!Kuna moja ya Lupatu dahhhh!
 
Hii chai, maeneo ya Stand, kibaka hawezi kuwa na ujasiri sijui wa kunificha chin ya gari kukungoja wewe usiye na hela, na vyeti vya nini.

Inawezekana ni kweli ila umeongeza uongo mwingi, sehemu hii ya Vibaka imeharibu uhalali wa andiko lako kwa 100

Ili andiko ni story fikirishi tunasoma kupoteza muda. Halina ukweli msamehe tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…