Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

yu wapi kijana wa mihangaiko ya kilwa?

mpwayungu village i call upon you...
mpwayungu village i call upon you...
mpwayungu village kuya mara moyaaa...

kuyaaa.. kuyaaa... kuyaaa hapa mara moyaa
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimemkumbuka The bold😂😂😂😂anyways ngoja tusubiri amalize kucheza prutable kwanza!!
 
😂😂😂
 
Amini usiamini sehemu nyingi alizotaja kwa majina hadi vijijini huko Chinongwe hajabuni ni sahihi.

Kama amebuni basi kweli amepita huko kote na anakujua vizuri.
Nakubaliana na wewe, ila hijaitaje Nangurukurulu, njia panda ya kwenda Kilwa.
 
Mkuu ipo.
Marehemu Mengi alikuwa na kampuni ya madini inamiliki Property (vitalu) vya kutosha huko.
Kuna watu toka kanda ya ziwa kibao wamelowea huko, wachimbaji wadogo wadogo.
Vijiji gani kuna hayo machimbo ya dhahabu.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Hii hadith umeanza jichanganya sehemu nyingi ukiwa na lengo la kuionogesha. Unataka matukio mengi sana mpaka unakosea. Hilo la huyo binti kumtaka inaonesha kabisa hukujipanga vizuri kulielezea. Na hilo la Majangiri kuwasha moto mkubwa kiasi cha wewe kutembea dk 45 kuufikia ni uongo mwingine ambao hukujipanga.

Mwendo wa kuuona moto umbali wa dk 45 ni moto mkubwa sana ambao majangiri hawawezi hatarisha maisha yao hivyo. Na hapo ukataja bunduki SMG eti uliifahamu sababu ulipitia JKT acha kufanya watu wote humu watoto. Wewe andika hadithi kama hadithi si lazim udanganye kuwa yalikukuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…